MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
i
i phone4 ishakuwa outdated,labda 4s
Mkuu angalia brand nunua Samsung S2 kwa hela hiyo au ongezea kidogo nunua Samsung j2 250k ukishindwa kabisa chukua Samsung j1 ace achana kabiisa na Tecno utajuta ! Tecno ni Tecno tuu hata ikiwa phantom jitahidi ufanye hvyo au chukua iPhone 4 hautokuja kujuta kutumia Simu hizo kwa bei hiyo
i phone4 ishakuwa outdated,labda 4s