APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 6,041
- 11,882
Je tunaomiliki nokia tochi si ndo watatudharau kabisa........Watu wana utani, eti skuhz mtu ukinunu tecno yako, basi ujue umekosa hela ya kununua simu. Astakafrlaah
Je tunaomiliki nokia tochi si ndo watatudharau kabisa........Watu wana utani, eti skuhz mtu ukinunu tecno yako, basi ujue umekosa hela ya kununua simu. Astakafrlaah
Nina laki mbili Wakuu nishaurini ninunue Sim Gan je infinix zimeshaingiia Tanzania Maana naziona kweny mtandao. Asanteni
Simat phone zote kwa ujumla ni shida kwenye chargeInfinix au
Mi nakushauri uchukue infinix mkuuKwa iyo mkuu Kati ya tecno na infinix unanishauri ninunue Ipi
Hii ninayotumia hapa ni techno w5 lite iko poa. Kero yake neno kwenye sms usipolithibitisha kwenye dictionary yake inakuandikia madudu hadi keep. Mkwanja ni laki 2.5.Mkuu nimenunua tecno w3lite Mh ad kelo Sms kuingia kwa shida Sana
Hizi simu huwa zinanikera charge Tu ,yaani unakuwa mtumwa wa charge vibaya
Umekariri mkuu, smartphone ulizokuwa unasikia miaka ile siyo smartphone za miaka hii, za miaka hii zinakaa na chaji mpaka mwenyewe unafurahi.Simat phone zote kwa ujumla ni shida kwenye charge
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]Usiingie Huawei plz inashika joto kama ibanda cha chips
InfiniteUmekariri mkuu, smartphone ulizokuwa unasikia miaka ile siyo smartphone za miaka hii, za miaka hii zinakaa na chaji mpaka mwenyewe unafurahi.
Smartphones nyingine zinakaa na chaji kuliko feature phones unazoziaminia.
Unatumia simu gani?
Techno ndo kabisa ni zeroUmekariri mkuu, smartphone ulizokuwa unasikia miaka ile siyo smartphone za miaka hii, za miaka hii zinakaa na chaji mpaka mwenyewe unafurahi.
Smartphones nyingine zinakaa na chaji kuliko feature phones unazoziaminia.
Unatumia simu gani?
Nashukuru mkuu Ila nasikia chaji azidumu eti Kweli mkuuMi nakushauri uchukue infinix mkuu
Umechukulia wapi Au kariakoo?Hii ninayotumia hapa ni techno w5 lite iko poa. Kero yake neno kwenye sms usipolithibitisha kwenye dictionary yake inakuandikia madudu hadi keep. Mkwanja ni laki 2.5.
Sijawahi kutumia smart phone inayotunza chaji kama infinix hot 4 lite, simu zote nilizotumia kwa infinix hazioni ndani aisee infinix asikwambie mtu ni balaa kwa kutunza chaji, ulizia members waliowahi kutumia infinixNashukuru mkuu Ila nasikia chaji azidumu eti Kweli mkuu
Siyo TECNO zote ambazo hazikai na chaji, zipo TECNO zinazokaa na chaji, L5, L8, L9+ kwa chaji ni moto wa kuotea mbali, usisikie maneno ya mtaani mkuu, jipimie mwenyewe specifications.Techno ndo kabisa ni zero
Ni bei ganiSijawahi kutumia smart phone inayotunza chaji kama infinix hot 4 lite, simu zote nilizotumia kwa infinix hazioni ndani aisee infinix asikwambie mtu ni balaa kwa kutunza chaji, ulizia members waliowahi kutumia infinix
Mkuu c8 zinakaa Sana chaji tofauti na Sim izi zingine kama w3,4,5 nkMimi natumia tecno c8 inaeda mwaka wa pili sasa...kuhusu charge ni jinsi ya kuicondition simu yako pale utakapo inunua yakupasa uitreat kama mtoto mdogo...1st usicharge cm hadi iwe na 1%.. 2nd ukiwa unacharge izime na usubiri hadi ijae ndo uitoe...mimi nikicharge yangu usiku natumia kesho yake na games nacheza na data ckumbuki kama nilishawahi kuzima [emoji111]