Nimelia sana usiku wa leo, nipo katika kipindi kigumu sana cha maisha

Mar 21, 2024
20
78
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.

Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.

Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.

Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.

Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.

Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.

Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.

Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu

Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
 
Unalia kwasababu unayaogopa maisha siku zote uliyakimbia kwa kujificha kwenye kivuli cha kuwa mwanafunzi sasa muda umefika wa kwenda kukabiliana nayo uso kwa macho machozi hayatakusaidia ni muda sahihi wa kukabiliana nayo kwa kutumia akili hakuna atakae kuhurumia kuwa tayari kwa hilo, wanawake wenyewe wanapambana kwa kuuza hadi magenge wewe wakiume kinakuliza nini?

Wengine wazazi wetu hata uwezo wa kutusomesha walikua hawana shukuru wewe umepata neema ya kusomeshwa na wazazi na imefikia wakati wako wa kujitafutia ila kwa mentality hiyo ya kujilizaliza hata huto SA unapotaka kwenda unaweza kwenda kuwa teja utajikuta unatumia madawa ili upate relief baada ya kukutana na ugumu zaidi ya huku.
 
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.

Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.
Keep calm, changamoto kwenye maisha zipo tu Cha msingi ni kutokukata tamaa
 
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.

Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.

Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.

Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.

Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.

Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.

Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.

Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu

Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Keep going bro kwanini unalia wakati wa la saba hawajakata tamaa
 
Mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan mama yetu....tunajua uliachiwa mzigo mkubwa wa mlundikano wa wasioajiriwa lakini tunaomba mama,jitahidi hivyohivyo uajiri vijana....jamani hali ni mbaya huku mtaani....vijana ambao ndiyo nguvu ya taifa Wamekosa matumaini ya nchi na kuishi😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
 
Duhhhh!!!

Mtoto Mayai huyu....! Chuo hujamaliza unaanza kulia lia hapa kama mtoto wa Kike...!

Kwa taarifa yako Mawazo ya kwenda South Africa yandoe kuanzia sasa hivi, South Africa sio Nchi ya watoto wa Mama, South Africa ni kiumeni hasa, hakuna Mjomba, Shangazi wala Jirani....! Ukienda wewe Ukitoboa ni Mwezi mmoja utaanza kulia unataka kurudi Nyumbani...!

Wewe endelea tu na Chuo usomee hata Ualimu, ili Maisha yaende.
 
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.

Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.

Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.

Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.

Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.

Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.

Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.

Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu

Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu
Na wewe unahisi siku zako kuisha? Wiki hii naona mtoa roho kawatembelea wanajf!
 
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.

Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.

Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.

Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.

Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.

Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.

Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.

Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu

Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu

Bora wewe ambae umetokea kwenye maisha duni ambaye naweza kusema una sababu ya kupambana na kufikia malengo yako.
Mimi nimepambana ilikuwa nisome miaka 3 nkapiga 5 years sababu ya ada mpaka nikamaliza chuo sikuhangaika kwa mtu yoyote japo nna ndugu zangu kibao wako kwenye system.

Nimeuza mitumba,nimeendesha dala dala,nimeendesha bolt,nimeuza visheti chuoni na ubuyu, nimefanya sana winga kkoo nkapiga sana udalali.

Mwisho wa siku baada ya miaka mitano ya jasho na mateso cheti changu kipo kabatini nmejiajiri kwenye uuzaji wa magari used na mapya na kutokana na connection niliyojijengea maisha yanaenda.

Ila ukijijengea mindset ya kusaidiwa au kushindwa sababu unatokea familia fulani au hali fulani possibility ya kufeli ni kubwa na unaweza chukua maamuz mabaya muhimu kaa chini pasua ubongo mie kazi zangu skuwa na mtaji wa hata sh 100 lilikuwa bando langu tu, mpla leo hii nna familia.
 
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 24(Leo ni kumbukizi yangu ya kuzaliwa), pia ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Bachelor of Science with Education moja ya chuo kikubwa hapa jijini.

Kielimu mimi ni mtu pekee hadi sasa katika ukoo wa baba na mama kufika chuo kikuu, wote kwenye ukoo wa baba na mama walio soma sana wameishia kidato cha nne tena wameambulia four na sifuri.

Wakuu, naandika haya nikiwa na machungu, huzuni na hisia za maumivu makali sana moyoni na akilini mwangu, hasa napotazama familia na yotokea na hali ya uchumi wa familia yangu.

Sina tumaini tena la Maisha, kwa umri wangu huu madogo nimeyaoana maisha ya dhiki na shuruba za Kila namna, nimefanya kazi mbalimbali licha ya kuwa bado na soma Lakini neema ya mafanikio imekataa kabisa kuja upande wangu.

Hapa nilipo natamani japo, nifanye mpango ni ende Africa ya kusini japo kwa kufoji ili nikajaribu bahati yangu, huenda ipo huko, lakini moyo unakata kabisa kufanya maamuzi haya.

Wazazi wangu, siwezi kuwalaumu kwani mimi mwenyewe ni Shahidi wamepambana sana lakini neema na bahati ya mafanikio haijawa upande wao, baba yangu kajaribu Kila aina ya kazi lakini wapi, vilevile mama yangu kafanya bidii sana lakini mambo mabaya.

Nimesoma shule ya msingi hadi advance na badae chuo kikuu, nimesoma kwa tabu sana miaka yangu hiyo, hii ni kutokana na hali ya uchumi wa familia yangu.

Nawaza sana,mwezi mwaka huu namaliza masomo yangu, je kipi kitatokea, wadogo zangu watano Wana- nitazama kaka yao wakiwa na matumaini makubwa sana ndani yao juu Yangu

Stress zinataka kuni maliza, nipo scared sana wakuu

ELimu haijakusaidia kabisa ,yaani umefika chuo hadi mwaka wa tatu then unalalamika? vipi kuhusu wale ambao hata darasa la kwanza hajafika na yupo kitaani? Hapo chuo hauchukui BUMU?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom