Kuna jamaa alikua na D ya hesabu akaenda adv akasoma pure na akaipiga kama kawa!! Na sasa ni mtaalam kwenye kitengo flani!!yaaan B/math Una D sasa advaved maths itakuajee mkuu
Tranta easy aje nimsolvie nishasolve yote na solutions zake nnazoChand one iko shalow kiasi flan kwenye phy...japo unaweza kukitumia mwanzoni!! chand two ndio imeshiba hasa kwenye umeme na electronics!! Kiufupi uziri wa chand ni kwamba inakupa mwanga sana kwenye topics...yaani inaelezea mpaka unaelewa!!
Pure one is good...
Ukienda shule utaikuta pure two either library au kwa masela!!
KWA PHY PIA ONGEZA CHA NELKON KANA UNA UWEZO!
Alafu kuna kitabu kinaiywa tranter...hahahaha hiki ni noma...so far sikushauri sana ukipitie kwa sasa labda ukifika fom6 hukoo!!
I repeat, ANZA TWISHEN SOON AS YOU CAN! Na ukianza twition sio unasoma tu alafu unasema utaenda pitia ukifika shule....ukitoka class anza kugonga msuli usingoje ufike shule ndio uanze kusoma!
Mmmmh???Umenikumbusha mbali sana mkuu! Ila jiulize kwanini engineer anaweza kuwa mwalimu na mwalim hawezi kuwa engineer?? No disrespect mkuu!
Na kama wewe ni mwalim basi nenda kawape wanafunzi naimani zitawaidia sana!!Tranta easy aje nimsolvie nishasolve yote na solutions zake nnazo
66 Kilo Volt!!Kapige hilo jiwe enzi zetu PGM tuliita PAGUMU, PGM na PCM wanaingiliana mwingi maana baada ya adv level fani za uhandis nyingi ni Hesabu na Phy ndo zinahusika,wengi wanaendaga PGM ili wapate pumziko kwenye geog



Ivi tuna line za 66kV kweli sikuhizi?Kapige hilo jiwe enzi zetu PGM tuliita PAGUMU, PGM na PCM wanaingiliana mwingi maana baada ya adv level fani za uhandis nyingi ni Hesabu na Phy ndo zinahusika,wengi wanaendaga PGM ili wapate pumziko kwenye geog
Hapo kama unadream za urubani pesa home muhimu na tokeo safi.Home kuwa vizuri kama vipi mkuu?
Inaelekea huna malengo dogo .....msome vizuri Upepo wa Pesa na Zanzibar-ASP wameshakupa inputs kwamngu mie kama issue ya Engineering bado PGM ni nzuri tu tena hata msuli wake sio mkubwa sana kama PCM hasa hapo kwenye Chemistry kama haupo vizuri. Otherwise iwe PCM ama PGM mwisho wa siku Physics na Maths ndo inaowakutanisha huko juu unless kama unataka kusoma Chemical engeneeringKitu ambacho sitaki ni kupiga msuli kuja kuishia kuwa mwalimu
PGM unasoma hizo course, mi nimesoma PGM saivi nasoma telecom &electronics DITKwa izo nyingine mfano automation, telecommunications, comp engineering na zinazofanana vip mkuu
Sawa mkuu tutawapa ushauri japo vichwa ngumu sana hawa sijui utandawazi au niniNa kama wewe ni mwalim basi nenda kawape wanafunzi naimani zitawaidia sana!!
Alafu walimu muangalie sana maana nyie ndio mnachangia sana wanafunzi kuharibu au kufaulu!!
Jitahidi ukiwa class uwe unawapa ushauri wanafunzi kama hawa sio tu mnasema PCM ngumu...oooh mara haina soko!! Na ndio maana chuon mkafundishwa saikolojia mkuu!!
Wasaidieni wanafanzi walau kwa ushauri sio tu mnawatisha!!
Maana huyu dogo naye kakatishwa tamaa na hao hao walimu wenzako sasa sijui mnashauri nini!!Sawa mkuu tutawapa ushauri japo vichwa ngumu sana hawa sijui utandawazi au nini
Sawa mkuuMaana huyu dogo naye kakatishwa tamaa na hao hao walimu wenzako sasa sijui mnashauri nini!!
Vichwa vigumu sio sababu maana chuoni mlifundishwa jinsi ya kudeal nao!!