Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,253
- 34,205
Kwani shule mnaenda lini??? Kama mda bado kesho nenda katafute twishen uanze pre form five mkuu!Siwezi cheza mkuu
Kwani shule mnaenda lini??? Kama mda bado kesho nenda katafute twishen uanze pre form five mkuu!Siwezi cheza mkuu
Ndiyo maana wanachukua watu wachache sanaNaungana na wewe mkuu!! Mwaka wetu walichukua watu 20 au 25 tu! Nakumbuka ilikua na ushindani sana!!
Ila kwangu hamna kitu kama engineering...!! Hii mambo naipenda sana!!
Chem na bios ndio azipandi sasaHiyo comb hainaga ushirikiano kabisa!!
Ndio maana hata wasomaji wake kupata division one huwaga ni msala kinoma! Na ukipata two au three jua ualimu wa physics au hesabu lazma uhusike!
Mark my word......
Kaulizie pale ifunda one Kali alishawahi toka nayo demu Fulani( One ya tano) haijawahi kutokea tena!
Nakushauri kama chemia inapanda kakamue pcm au pcb
Kutokana na ugumu wa hesabu na phys utajikuta geography unafanya km subsidiary mwishoni mayo inakutolea mbavuni
Haya maneno hata mimi niliambiwa. Lakini kufaulu nilifaulu na chuo nikaenda na sasa mimi ni engineer!!Hiyo comb hainaga ushirikiano kabisa!!
Ndio maana hata wasomaji wake kupata division one huwaga ni msala kinoma! Na ukipata two au three jua ualimu wa physics au hesabu lazma uhusike!
Mark my word......
Kaulizie pale ifunda one Kali alishawahi toka nayo demu Fulani( One ya tano) haijawahi kutokea tena!
Nakushauri kama chemia inapanda kakamue pcm au pcb
Kutokana na ugumu wa hesabu na phys utajikuta geography unafanya km subsidiary mwishoni mayo inakutolea mbavuni
Una maana gani?Comb ya kifo iyo
bwana mdogo acha kutuongopea wew unaiogopa comb... Kudadadeki kakazeHabari wana JF toka selection zimetoka mpaka Leo kichwa changu hakijakaa sawa, shida nilo nayo ni kwamba nimepangwa PGM ifunda tech lakini asilimia kubwa ya walimu ya shule nilomalizia wananambia kuwa hii combi haina maana ivo nikabadilishe ila hawanambii sababu ivo nikaona sio mbaya kuja kuomba ushauri kabla sija badili, nikiwa na maswali hata kama combi haina maana tz Kwann IPO? Na baada ya advance INA faculty ngapi chuoni? Zipi? Na zina manufaa apa bongo?
Nawasilisha msaada wenu ndio mkombozi wangu kabla sijakurupuka
Ila kweli mkuu, ndio mana mwanzo niliuliza kama hazina mana why ziliwekwa?Haya maneno hata mimi niliambiwa. Lakini kufaulu nilifaulu na chuo nikaenda na sasa mimi ni engineer!!
Je EGM ina ushirikiano?? Mbona watu wanapiga one tu!!
Ugumu au urahisi wa kombi is nothing but state of mind!!
Nenda katafute twishen anza kukomaa na mechanics na vi sub topics vyake ukiipiga walau nusu tu ukienda shule itakusaidia sana!!Mwezi ujao
Shukrani kwa mawazo yaliyotukuka engineer mwenzangu!!Hao walimu wako hawana sababu za msingi, mimi nilisoma hiyo PGM hapo ifunda unapotarajia kwenda now am a Computer Engineer, kapige shule ya PGM!
Hii ni sababu tosha jombaa!! Asikukukatishe mtu tamaa nenda kagonge pgm !Chem na bios ndio azipandi sasa
Asante mkuu ngoja kesho nianze tuitNenda katafute twishen anza kukomaa na mechanics na vi sub topics vyake ukiipiga walau nusu tu ukienda shule itakusaidia sana!!
Piga pure...kama ukiwenza achana na sets na logics...nenda anza na trig kama mda ukiruhusu anza differentiation na integration!!
Itakupa faida sana ukienda shule mkuu!! Na ukifika shule usibanie masema...waite uwafundishe hivi ndivyo wenzako tulifanikiwa!!
Mkuu hata HKL na PCB sizani kama zilitoa TO ila watu wanasoma bila shida!!Isipo kuwa PGM nadhani haijawahi kutoa TO, na geography ndo sababu kubwa so aliye kuambia geog n rahisi sawa lakini A za Physics n nyingi na rahisi kuzipata pamoja na Math, lakini A za geog ni chache sana pamoja na urahisi unao zungumzwa, kikubwa kapige shule PGM ipo poa tu!
Sawa Mimi nimempa tu ushauri kulingana na uzoefu wangu kuangalia performance ya pgm!Haya maneno hata mimi niliambiwa. Lakini kufaulu nilifaulu na chuo nikaenda na sasa mimi ni engineer!!
Je EGM ina ushirikiano?? Mbona watu wanapiga one tu!!
Ugumu au urahisi wa kombi is nothing but state of mind!!