Nani kasema geog haina hesabu? Nani kasema economics haina hesabu?Sawa Mimi nimempa tu ushauri kulingana na uzoefu wangu kuangalia performance ya pgm!
egm wengi wamafaulu safi coz economics na geography ndio Yale Yale hakuna calculation sana zaidi ya maelezo tu!
Anyway ni ushauri tu kama ataona vipi au chukue au aupige chini
CBG haina wigo mpana kama pcb...ni kombi nzuri ila kwa miaka ya karibuni imekua ngum kupata chance kwenye phamacy na udaktari!!Na aliyepa CBG
Na Mungu akusaidie mkuu!! Naimani baada ya miaka sita tutakua timeongeza idadi ya mainjia tz kwetu!!Asante mkuu ngoja kesho nianze tuit
Nimepangiwa Ifunda techCBG haina wigo mpana kama pcb...ni kombi nzuri ila kwa miaka ya karibuni imekua ngum kupata chance kwenye phamacy na udaktari!!
Kwa ushauri...kama ukiweza kupiga one au two wala usiumize akili...nenda pale SUA kuna kozi kama veterinary medicine!! Ukiwa na kichwa kizuri ukimaliza utaenjoy sana life!
Kuna majamaa nilikua nasoma nao ...walisoma hapo hapo ifunda! Ni shule nzuri...Nimepangiwa Ifunda tech
Asante phy tayari Nina chand class XI na physics cha Robert resnick alafu math nina pure oneNa Mungu akusaidie mkuu!! Naimani baada ya miaka sita tutakua timeongeza idadi ya mainjia tz kwetu!!
NB: Kwa phy tafuta kitabu cha nelkon na chand two mapema kabisa!!
Kwa pure tafuta pure one na two alafu malizia na chand two!!
Geog tafuta kitabu cha msabila...japo sikushauri sana maana kiko shalo kiasi flan though ndio kinatumika sana!
Hata kama huna uwezo nadhan shule nyingi wanavyo library ! Kila la heri arifu!
Chand one iko shalow kiasi flan kwenye phy...japo unaweza kukitumia mwanzoni!! chand two ndio imeshiba hasa kwenye umeme na electronics!! Kiufupi uziri wa chand ni kwamba inakupa mwanga sana kwenye topics...yaani inaelezea mpaka unaelewa!!Asante phy tayari Nina chand class XI na physics cha Robert resnick alafu math nina pure one
Sawa mkuuChand one iko shalow kiasi flan kwenye phy...japo unaweza kukitumia mwanzoni!! chand two ndio imeshiba hasa kwenye umeme na electronics!! Kiufupi uziri wa chand ni kwamba inakupa mwanga sana kwenye topics...yaani inaelezea mpaka unaelewa!!
Pure one is good...
Ukienda shule utaikuta pure two either library au kwa masela!!
KWA PHY PIA ONGEZA CHA NELKON KANA UNA UWEZO!
Alafu kuna kitabu kinaiywa tranter...hahahaha hiki ni noma...so far sikushauri sana ukipitie kwa sasa labda ukifika fom6 hukoo!!
I repeat, ANZA TWISHEN SOON AS YOU CAN!!
haaaya bhana utaki kua mwalimu ngoja nicheke kwanza cindonyinyi mnadoma engineering alafu mnaanza kuvamia professional za watu mnaanza kuomba temple.........en way kapige kitabu....PCMKitu ambacho sitaki ni kupiga msuli kuja kuishia kuwa mwalimu
Acha uoga chemistry simple advanceMkuu Chemi inanipiga chini geo Nilikuwa napasua
Umenikumbusha mbali sana mkuu! Ila jiulize kwanini engineer anaweza kuwa mwalimu na mwalim hawezi kuwa engineer?? No disrespect mkuu!haaaya bhana utaki kua mwalimu ngoja nicheke kwanza cindonyinyi mnadoma engineering alafu mnaanza kuvamia professional za watu mnaanza kuomba temple.........en way kapige kitabu....PCM
yaaan B/math Una D sasa advaved maths itakuajee mkuuAhaaaa sasa kumbe naweza kujipanga nipasue maana phy na math naipenda sana tu na geo ndio nimepata A ayo mengine C na math D
Hii dhana si kwel unataka kusema walimu n wote waliocheza mkuu???Na ukicheza utakua mwalimu