SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,077
Chege Ft DiamondWacha waoane[emoji442] [emoji445] [emoji441]
Chege Ft DiamondWacha waoane[emoji442] [emoji445] [emoji441]
If it's so then this whole thing is unrealistic.Kuna jamii yao na Jamii inayowazunguka.
Ahsante kwa kushiriki.waisilamu ndivyo mlivyo! endeleeni kuoana hadi na watoto zenu!
Kule wanakojilipua hovyo kwa ahadi ya mabikra 70?Naam.
waisilamu ndivyo mlivyo! endeleeni kuoana hadi na watoto zenu!
Shukrani kwa muongozo, wanalijua hilo ila mkazo wao upo kwenye jamii kwamba itawachukulia vibaya, lakini naona jamii hiyo hiyo inayohofiwa ndio wanasema BINAMU NYAMA YA HAMU ila likija swala la Mama mkubwa na Mama mdogo Inakua nzito kukubàli.Sijajua hiyo familia ni dini gani,lakin kama ni waislam basi Qur'an peke yake inaweza kuwapa mwongozo pasina shaka.
Someni Suratul An-Nissaa humo kuna majibu yoteView attachment 498997View attachment 498998View attachment 498999
Tang'ana....Kule wanakojilipua hovyo kwa ahadi ya mabikra 70?
View attachment 499000
Us
Uislam haubahatishi, Mwenyezimungu ameshatoa Miongozo,ni kharam baba kumuoa mwanae,soma tafsiri ya suratul An Nisaaa nimekuwekea hapa kwa faida yako na wale wenye mawazo kama yako ambao hawakutaka kuonyesha upumbavu wao hadharani
Mie nimeshuhudia watu wakifunga ndoa za namna hiyo na haikuleta shida.Ndoa ya kwanza uloielezea na hii ya pili zote ni za aina sawa.Shukrani kwa muongozo, wanalijua hilo ila mkazo wao upo kwenye jamii kwamba itawachukulia vibaya, lakini naona jamii hiyo hiyo inayohofiwa ndio wanasema BINAMU NYAMA YA HAMU ila likija swala la Mama mkubwa na Mama mdogo Inakua nzito kukubàli.
Kule wanakojilipua hovyo kwa ahadi ya mabikra 70?
Mmh! Kazi kweli.Wamejisahau, siku zote mtoto sio wa upande wa mama, mtoto ni wa upande wa baba, sasa ikiwa ni hivyo, mtoto wa mama mkubwa na mtoto wa mama mdogo utawakatazaje kuoana??? Maana hapo koo ni tofauti
Binamu ni ndugu ila kwa mafundisho ya KIISLAM haikatazwi KUMUOA.binamu yako sio ndugu yako? hamuwaoni wanawake wengine?
binamu yako sio ndugu yako? hamuwaoni wanawake wengine?
Binamu ni ndugu ila kwa mafundisho ya KIISLAM haikatazwi KUMUOA.
Watu ambao WAISLAM wameharamishiwa kuoana nao Wameanishwa kwenye uislam
View attachment 499002
Soma hayo maelezo ya kiswahili
Kumbe hakuna neno eeh, ila wanadai jamii inachukulia vibaya ndoa ya aina hiyo lakini za binamu ni sawa.
Mwenyezimungu amewataja watu ambao hawaruhisiwi KUOANA,na wanaoruhusiwa kuoana.nani aliye waruhusu? ni binadamu au ni Mungu?
Wamejisahau, siku zote mtoto sio wa upande wa mama, mtoto ni wa upande wa baba, sasa ikiwa ni hivyo, mtoto wa mama mkubwa na mtoto wa mama mdogo utawakatazaje kuoana??? Maana hapo koo ni tofauti
Tafsiri kamili ya kiswahili hii hapa aya ya 23 kwenye suratl An Nissaanani aliye waruhusu? ni binadamu au ni Mungu?
wewe unauhakika kama maneno ya kumuoa ndugu yako bina! yanatoka kwa Mungu! itakuwaje kama hayakutoka kwa Mungu??Mwenyezimungu amewataja watu ambao hawaruhisiwi KUOANA,na wanaoruhusiwa kuoana.
Mtoto wa mama mkubwa,mdogo,mjomba,shangazi, wametajwa kwenye kundi la watu wa kuwaoa.Na wasioruhusiwa hawa wasome kwa maandiko ya kisw,Suratul An Nissaa aya ya 23
View attachment 499005
Wamejisahau, siku zote mtoto sio wa upande wa mama, mtoto ni wa upande wa baba, sasa ikiwa ni hivyo, mtoto wa mama mkubwa na mtoto wa mama mdogo utawakatazaje kuoana??? Maana hapo koo ni tofauti