Ningependa kufahamu je hio Barua unaandika kwa watu walio mkoani tu. Au Hata ukiwa dar utaratibu ni huo huo??Barua andika kwa kamishna jenerali mkuu ya kiswahili ukiomba hati ya kusafiria.
Uwe na sababu ya safari ambayo utaambatanisha.
Jaza form online lipia halafu iprint peleka ofisi ya uhamiaji pamoja na viambatanisho vinavyotakiwa.
Hati unaweza kupata bila kutoa sh. 10 ya ziada ndani ya week mbili.
Hata Dar mwezi wa saba jamaa yangu aliandika pale kurasini.Ningependa kufahamu je hio Barua unaandika kwa watu walio mkoani tu. Au Hata ukiwa dar utaratibu ni huo huo??
Katafte affidavit pia usisahau na hela ya kubrashia vitu Kwa ma officer wa uhamiajiWakuu Kwenye cheti cha kuzaliwa mzazi Ninacho cha baba tu. Mama hana nida wala Cheti je haitaleta shida??
Yes barua ya uambatanisho kutoka serikali za mitaa ni muhimu, pia nenda kawape 10000 wakujazie wenyewe palepale ukijaza mwenyewe itagoma na hapo utakuwa ushalipa 20000 yako ni hasara bin hasaraOk mkuu Ahsante kwa muongozo. Sasa ningependa nijibiwe hayo maswali hapo.
Je ni lazima niandike Barua na kupeleka barua ya utambulisho wa Serikali za mtaa??
Nishaipata. Mungu mkubwaYes barua ya uambatanisho kutoka serikali za mitaa ni muhimu,
Palepale ofisi za uhamiaji ndio wanijazie??? Stationary hapa chuga wanadeal na hii kitu je wakinijazia wao maafisa pale hawataleta figisu kweluhaitagomapia nenda kawape 10000 wakujazie wenyewe
Daah.. Tanzania yangupalepale ukijaza mwenyewe itagoma na hapo utakuwa ushalipa 20000 yako ni hasara bin hasara
Cheti/kiapo cha mzazi mmoja tu mara nyingi hutosha.Katafte affidavit pia usisahau na hela ya kubrashia vitu Kwa ma officer wa uhamiaji
Shida Wana vishoka wao Wana access na system ukijaza mwenyewe hats ulipie form inagoma ku print na lengo lao wakutapeli hyo elfu kumi yako tuNishaipata. Mungu mkubwa
Palepale ofisi za uhamiaji ndio wanijazie??? Stationary hapa chuga wanadeal na hii kitu je wakinijazia wao maafisa pale hawataleta figisu kweluhaitagoma
Daah.. Tanzania yangu
YesCheti/kiapo cha mzazi mmoja tu mara nyingi hutosha.
Mkuu Ahsante sana malekezo yako yapo sahihi kwa 95%. Nimeshafanya hatua kafhaa kesho naenda uhamiaji. Niombee nifanikishe TafadhaliIli kupata passport,unatakiwa uwe na.
1.cheti cha kuzaliwa.
2.cheti cha kuzaliwa cha mzazi mojawapo.
3.Kitambulisho cha Taifa.
4.kitambulisho cha Kazi Kwa watumishi wa umma.au barua ya utambulisho KUTOKA serekali za mitaa Kama hujaajiriwa.
5.barua ya maombi ya passport kama uko mkoani anapitisha kwa kamishna WA mkoa kwenda Kwa kamishna mkuu,anwani zao za posta unaweza kuzipata ofisini kwao.
6.uthibitisho wa safari ukionyesha nchi unauokwenda.
7.baada ya kuwa na vielelezo vyote utaanza kujaza form ya maombi online kupitia uhamiaji portal.kuna sehemu uta upload barua ya utambulisho na Cheti cha kuzaliwa.
Kama ombi limekamilika utapewa contral namba ya kulipia 20,000 ili uweze Ku print form.
Ukishaprint form utatafuta mashaidi waijaze na pia mwanasheria.
8.baada ya hapo utaenda ofisi za uhamiaji ukiwa na hiyo form na vielelezo nilivyotaja hapo juu,
9.Ombi litapitiwa kama hakuna dosari,litapitishwa,utalipia 130,000 Kwa kutumia control namba,alafu utakamilisha ombi Kwa kupiga picha pamoja na kuchukuliwa alama za vidole.
10.Baada ya hapo utasubiri Kwa mwezi mmoja passport kuwa tayari.
11.kama unaihitaji Kwa haraka na hauna baadhi ya vielelezo unaweza watumia vishoka,Ila utawalipa gharama za ziada.almost 100-200k.
Ushakusanya na kukabidhi nyaraka zote na umelipia tayari?Imebid nifuatilie hukuhuku tu japo wameniambia naisubirie kwa wiki sita... Mhh sijui wananiongopea
Pole, lakini kama hauhitaji kwa haraka sana week sita si nyingi.Ndio nimepiga picha tayari. Ndio nasubiri Passport sasa wamesema mpaka wiki sita mm nilijua ni mwez tu. Ningejua ningekuja tu dar
Ok natumai utaweza kuipata mapema kabla ya mda huo. All the bestAhsante. Ika ngoja nivumilie asee nikitaa dec isinikute huku kama Mungu akifanya wepesi. Subira ibada ngoja nijitahidi kuvumilia
Wapo watu kwa vipindi tofauti wamezipata kwa mda mfupi tu tena bila ya mnazoita connectionHua inkua hivyo????
Nikiipata nitawapa mrejesho