Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 330
- 458
Habarini za usiku wependwa
Naomba msaada kwa anaejua ni utaratibu gani wa kufuata ili mtu aweze kuandika wosia aweze kugawanya mali zake na je.? Inawezekana kumrithisha mtoto wa kuanzia umri gani na uo wosia ukisha andikwa unatuzwa wapi na ikitokea alie andika amefariki walengwa wataupataje.? Kingine ningependa kujua kama mtu ni mwanajeshi anaweza kuandika wosia asizikwe kijeshi azikwe kawaida au haiwezekani.
Naomba kwa wenye kujua mambo haya watoe maoni yao tupate elimu.
Naomba msaada kwa anaejua ni utaratibu gani wa kufuata ili mtu aweze kuandika wosia aweze kugawanya mali zake na je.? Inawezekana kumrithisha mtoto wa kuanzia umri gani na uo wosia ukisha andikwa unatuzwa wapi na ikitokea alie andika amefariki walengwa wataupataje.? Kingine ningependa kujua kama mtu ni mwanajeshi anaweza kuandika wosia asizikwe kijeshi azikwe kawaida au haiwezekani.
Naomba kwa wenye kujua mambo haya watoe maoni yao tupate elimu.