Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Umeomaeeeeeeeee?Tamaa ya mzee fisi hii ndio inammaliza. kwendraaaaaaaaaaaaa
Umeomaeeeeeeeee?Tamaa ya mzee fisi hii ndio inammaliza. kwendraaaaaaaaaaaaa
Alikufanyia nini? Ndio alikutuma umuweke amsterdam agombee?Hakuna haja ya kumuonea huruma maana aliyotufanyia kwenye uchaguzi ndiyo yanayo mtesa.
Uyo anajifanyisha ili mama amuonee huruma,,,afilie mbali ukoooBinadamu yeyote anapoonyesha kuwa katika msongo wa mawazo anahitaji kupewa msaada wa kisaikolojia haraka kabla hali haijawa mbaya.
Huyu mheshimiwa asaidiwe na wale aliokuwa akiwahudumia kama KM maana wamemtosa hata kum address kama KM mstaafu hawataki.
Kauli yake ya " Ili ubaki na dola tumia dola kubaki na dola" naona kwake mwenyewe imeshindikana.
Nimepewa taarifa toka mjengoni kuwa jamaa anahitaji uangalizi na ushauri.
Asaidiwe!View attachment 1759335
Mchuma majanga daima ula na wenzakeJela inamsubiri. Alimwambia mama "Tanzania kwa sasa haijawa tayari kuwa na rais mwanamke, unaonaje ukijiuzulu"
Baada ya kuapishwa mama akamjibu "aliyesimama hapa ni Rais mwenye jinsia ya kike".
USHAURI WANGU: Aende Ikulu na waandishi wa habari akaombe msamaha kama Nape kwa Magofool.
View attachment 1759343
Hawezi kukuelewa huyo, yeye anafikiri stress alizonazo Lisu basi kila mtu anazoTuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!
Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam....
Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C....
Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Sasa Bashiru kwa akili yako unafikri ana shida na vyeo?Unafikiri kila mtu anakuwa driven na hela?
Ingekuwa pesa ndo inaondoa msongo wa mawazo basi watu wenye hela wangekuwa hawapati depression!
Binadamu ana "nyota" mtu mwenye nyota kubwa bado atapata depression kutokana na vitu vinavyoendana na nyota yake
Na binadamu mwenye nyota ndogo, naye atapata depression kutokana na vitu vinavyoendana na nyota yake
Umasikini wako na wivu hauwezi kuondoka kwa kumchukia BashiruUyo anajifanyisha ili mama amuonee huruma,,,afilie mbali ukooo
Watanzania aina ya mleta mada ni wajinga sana jamani!
Mwenzio hapo anaondoka na milioni 11 per month nje ya marupu rupu mengine.
Ila wewe unaedemka hapa jf huku ukipiga miayo eti unataka umshauri kisaikolojia?
Akili au matope?
Mtajibeeba sukuama gang na hapo baadooooo saaaanaAlikufanyia nini? Ndio alikutuma umuweke amsterdam agombee?
Mtoto una kipwinto ww...Uyo anajifanyisha ili mama amuonee huruma,,,afilie mbali ukooo
Any negative disturbance kwenye maisha ya mtu inaweza kumsababishia msongo wa mawazo.Sasa Bashiru kwa akili yako unafikri ana shida na vyeo?
Bashiru hivyo vyeo yeye ndio vilimfuata akiwa kashika chaki pale mlimani.
Ni ujuha kufikiri Bashiru ana msongo wa mawazo kisa vyeo.
Eti ee? Tutafungwa maana Lisu ni raisMtajibeeba sukuama gang na hapo baadooooo saaaana
Siku zenu za kubakia tanzania zinahesabika maana aliyewaleta tanzania hayupo tena dunianiEti ee? Tutafungwa maana Lisu ni rais
Wewe ni Ndebile kweli. Umeeleza ukweli kwani Bashiru siyo mtu wa tamaa ya mali,vyeo na madaraka tangu utotoni.Tuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!
Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam.
Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C.
Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Ndio kakwambia hivyo?Any negative disturbance kwenye maisha ya mtu inaweza kumsababishia msongo wa mawazo.
Wewe unaangalia vyeo alivyopata huenda yeye Bashiru anajiona kama mtu aliyekosa imani thabiti kwa rais wa sasa na hilo linamsumbua.
Unanijua? Au kulingana na maisha yako unadhani wenzako wote members wa JF ni masikini?Watanzania aina ya mleta mada ni wajinga sana jamani!
Mwenzio hapo anaondoka na milioni 11 per month nje ya marupu rupu mengine.
Ila wewe unaedemka hapa jf huku ukipiga miayo eti unataka umshauri kisaikolojia?
Akili au matope?
Unaishi kwa nadharia mkuu, huyajui yanayo endelea DodomaTuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!
Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam.
Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C.
Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Umetisha mkongweTafsiri ya maisha kwake ni kama mawimbi