Msaada wa kisaikolojia unahitajika haraka

Binadamu yeyote anapoonyesha kuwa katika msongo wa mawazo anahitaji kupewa msaada wa kisaikolojia haraka kabla hali haijawa mbaya.
Huyu mheshimiwa asaidiwe na wale aliokuwa akiwahudumia kama KM maana wamemtosa hata kum address kama KM mstaafu hawataki.
Kauli yake ya " Ili ubaki na dola tumia dola kubaki na dola" naona kwake mwenyewe imeshindikana.
Nimepewa taarifa toka mjengoni kuwa jamaa anahitaji uangalizi na ushauri.
Asaidiwe!View attachment 1759335
Uyo anajifanyisha ili mama amuonee huruma,,,afilie mbali ukooo
 
Tuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!
Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam....
Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C....
Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Hawezi kukuelewa huyo, yeye anafikiri stress alizonazo Lisu basi kila mtu anazo
 
Unafikiri kila mtu anakuwa driven na hela?
Ingekuwa pesa ndo inaondoa msongo wa mawazo basi watu wenye hela wangekuwa hawapati depression!

Binadamu ana "nyota" mtu mwenye nyota kubwa bado atapata depression kutokana na vitu vinavyoendana na nyota yake
Na binadamu mwenye nyota ndogo, naye atapata depression kutokana na vitu vinavyoendana na nyota yake
Sasa Bashiru kwa akili yako unafikri ana shida na vyeo?

Bashiru hivyo vyeo yeye ndio vilimfuata akiwa kashika chaki pale mlimani.

Ni ujuha kufikiri Bashiru ana msongo wa mawazo kisa vyeo.
 
Ni afadhali apiganie katiba mpya
Watanzania aina ya mleta mada ni wajinga sana jamani!

Mwenzio hapo anaondoka na milioni 11 per month nje ya marupu rupu mengine.

Ila wewe unaedemka hapa jf huku ukipiga miayo eti unataka umshauri kisaikolojia?

Akili au matope?
 
Acha kuingia katika Vita ambavyo huwezi kushinda.
Kubali kua mtetezi wako kafa.
La sivyo, they are going to fix you before July this year
 
Sasa Bashiru kwa akili yako unafikri ana shida na vyeo?

Bashiru hivyo vyeo yeye ndio vilimfuata akiwa kashika chaki pale mlimani.

Ni ujuha kufikiri Bashiru ana msongo wa mawazo kisa vyeo.
Any negative disturbance kwenye maisha ya mtu inaweza kumsababishia msongo wa mawazo.
Wewe unaangalia vyeo alivyopata huenda yeye Bashiru anajiona kama mtu aliyekosa imani thabiti kwa rais wa sasa na hilo linamsumbua.
 
Tuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!

Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam.

Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C.

Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Wewe ni Ndebile kweli. Umeeleza ukweli kwani Bashiru siyo mtu wa tamaa ya mali,vyeo na madaraka tangu utotoni.
 
Any negative disturbance kwenye maisha ya mtu inaweza kumsababishia msongo wa mawazo.
Wewe unaangalia vyeo alivyopata huenda yeye Bashiru anajiona kama mtu aliyekosa imani thabiti kwa rais wa sasa na hilo linamsumbua.
Ndio kakwambia hivyo?

Bashiru kateuliwa ubunge na huyo huyo Samia, kwanini uanze kusema hana imani nae?
 
Watanzania aina ya mleta mada ni wajinga sana jamani!

Mwenzio hapo anaondoka na milioni 11 per month nje ya marupu rupu mengine.

Ila wewe unaedemka hapa jf huku ukipiga miayo eti unataka umshauri kisaikolojia?

Akili au matope?
Unanijua? Au kulingana na maisha yako unadhani wenzako wote members wa JF ni masikini?
Pole sana. Kwako milioni 11 unadhani ni kitu kuliko madaraka? Umasikini ni kitu kibaya sana na utakufanya uendelee kuwa mtumwa
 
Tuliowahi kukaa na huyu jamaa mitaa ya Kemondo -Maruku, Ilungami hizi huwa ndio pozi zake tu!

Alafu nikuulize mleta mada....Katibu Mkuu wa Chama chenye wabunge wengi na vitega uchumi kibao, mbunge wa kuteuliwa mwenye mshahara na miposho lukuki unadhani anawaza Sana kama wewe Mwl. Elizeus wa Shule ya Msingi Bunduku? Tuache utani Bashiru huyu aliyejituma kuanzia mwalimu wa kujitolea Kashozi sekondari hadi kuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam.

Watu wa aina ya Bashiru tamaa kwao sio sehemu yake! Siasa inemuita yeye na sio yeye aliyeitafuta kama Nape, Makamba jr, nk.
Watu waliojijenga wenyewe from zero huwa plan A ikibuma tayari wanakuwaga na plan B na C.

Hapo alipo Bashiru kwa tunaomfahamu panamtosha Sana sema Kazi aliyopewa ya kuongoza tume ya kubaini na kurudisha mali za CCM walizokuwa wamegawana watoto wa wakubwa akina Kingunge, Diallo, Gachuma nk ndio zimemtengenezea maadu wengi na sio vinginevyo!
Unaishi kwa nadharia mkuu, huyajui yanayo endelea Dodoma
 
Back
Top Bottom