Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Sisi tushamtoa ikulu aliyokuwa anajivunia wakati wa jiwe .Macho huona kile anachowaza mtazamaji...mfano wakati watu wanakupongeza kwa kuoa mke mzuri wewe mawazo yako unaona kama "watakupindua" na kukuchukulia mke kwasababu ndio ilikuwa tabia yako, ubaya uliopo kwenye matendo yako ya zamani unafanya macho yako yaone kila mtu mbele yako ni mbaya au anataka kukufanyia ubaya....! Ulimuona BAshiru katika mwili tofauti na huu?
Watu kama Bashiru wamebaki wachache sana CCM na TAnzania kwa ujumla!
Kama mlipanga aendelee kuwepo pale basi imekula kwenu.
Mwache sasa aendelee kusononeka na kutukanwa na kina kibajaj na msukuma kwa kudhalilisha elimu yake.