Aisatu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 784
- 337
Jamani hii OTEAS mbona majanga, nimemfanyia mtu application nikamaliza vizuri, yeye ana degree nashangaa tena kwenye kupreview naona kuna attachment ya Grade A certificate kwamba ni miongoni mwa attachment nilizoweka wakati hata pale kwenye orodha yao ya vitu vya kuattach hicho kitu hakipo sasa hii inatoka wapi tena?. Pia Transcript nimeattach nikaambiwa imekuwa successfully uploaded lkn kwenye preview siioni!!
Mwenyew hii kitu imetokea hapo nahisi kitakuwa kati ya transcrip au aplication letter maana ndo nilikuwa nahangaika navyo.sasa cjui tunatoaje hayo maandishi mfumo wao mbovu kule tume ya ajira unauwezo wa kuedit.