Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Kama umeupload inaleta grade a hakuna tatO ucjal maana kule mwanzo kipind una create aacount uliweka grade a holder hapo hakuna shida
Kwahyo msijal mambo ni sawa kabsa msijal kuhusu kuandika grade a
 
Habarini wakuu, nina changamoto kidogo hapa. Wakati nafanya hii application jana usiku mtandao ulikuwa unasumbua sana hadi ikafikia stage naambiwa uploaded lakini ukienda kuangia kwenye application report hakuna kitu, sasa katika hizo hatua nimejikuta kimeingia kijina cha GRADE A CERTIFICATE wakati sikukiweka na wala sina attachment yake coz mm naomba shahada ya mwalim wa science. Msaada wenu wakuu nitoe hiyo grade a cetificate ili niweke Transcript. Mwenye uzoefu tafadhali.
 

Attachments

  • 15517629340565295792063798452779.jpg
    15517629340565295792063798452779.jpg
    269.4 KB · Views: 41
Habarini wakuu, nina changamoto kidogo hapa. Wakati nafanya hii application jana usiku mtandao ulikuwa unasumbua sana hadi ikafikia stage naambiwa uploaded lakini ukienda kuangia kwenye application report hakuna kitu, sasa katika hizo hatua nimejikuta kimeingia kijina cha GRADE A CERTIFICATE wakati sikukiweka na wala sina attachment yake coz mm naomba shahada ya mwalim wa science. Msaada wenu wakuu nitoe hiyo grade a cetificate ili niweke Transcript. Mwenye uzoefu tafadhali.
bora yako wewe umefanikiwa kufika hatua hiyo mimi siku mbili nafika hatua ya kuapload attachment imenigomea hapo hadi leoo.
 
Habarini wakuu, nina changamoto kidogo hapa. Wakati nafanya hii application jana usiku mtandao ulikuwa unasumbua sana hadi ikafikia stage naambiwa uploaded lakini ukienda kuangia kwenye application report hakuna kitu, sasa katika hizo hatua nimejikuta kimeingia kijina cha GRADE A CERTIFICATE wakati sikukiweka na wala sina attachment yake coz mm naomba shahada ya mwalim wa science. Msaada wenu wakuu nitoe hiyo grade a cetificate ili niweke Transcript. Mwenye uzoefu tafadhali.
pia hili tatizo naona linatokea kwa watu wengi sana sijui ndo matatizo ya kiufundi au lah!
 
pia hili tatizo naona linatokea kwa watu wengi sana sijui ndo matatizo ya kiufundi au lah!

Halafu wameweka namba zao hapa ukiwapigia hawapokei sijui kwann, hawajibu hata sms. Ila Tanzania bwana watu wanasema hili ni dawati la msaada halafu wanakata simu sasa sijui wameweka namba ya mtu flani sasa yuko busy mashambani huko. Hii ni changamoto kiukweli maandalizi ya kulifanya hili hayakuwa mazuri. Wangeweka sehem ya kuedt atleast ikitokea hali kama hii mtu uweze kuedt na kufanya mambo mengine.
 
Back
Top Bottom