Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Hata mimi imekuwa hivyo hivyo, baada tu ya ku upload transcript, ikatokea hiyo Grade A na transcript haitokei. Sasa sijui hilo tatizo linatatuliwaje?
 
Duh nilivyoona ni kuwa ukiwa ndo unaanza Ku create akaunti kuna category tatu ya kwanza ni science teachers for secondary... Arts subject teachers( hawajascpecify kuwa watafundisha wapi kama science).. Then kuna primary I think grade A sasa wewe kwa hapo ulichagua wapi?
Nimeomba primary badala ya secondary, nilikua cna taarifa ya kubadishwa kwa tangazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh nilivyoona ni kuwa ukiwa ndo unaanza Ku create akaunti kuna category tatu ya kwanza ni science teachers for secondary... Arts subject teachers( hawajascpecify kuwa watafundisha wapi kama science).. Then kuna primary I think grade A sasa wewe kwa hapo ulichagua wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichagua arts ,bt kwenye application ndo nimespes
Duh nilivyoona ni kuwa ukiwa ndo unaanza Ku create akaunti kuna category tatu ya kwanza ni science teachers for secondary... Arts subject teachers( hawajascpecify kuwa watafundisha wapi kama science).. Then kuna primary I think grade A sasa wewe kwa hapo ulichagua wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichagua arts bt kwenye barua ndo nikaspecify
 
Habarini wakuu, nina changamoto kidogo hapa. Wakati nafanya hii application jana usiku mtandao ulikuwa unasumbua sana hadi ikafikia stage naambiwa uploaded lakini ukienda kuangia kwenye application report hakuna kitu, sasa katika hizo hatua nimejikuta kimeingia kijina cha GRADE A CERTIFICATE wakati sikukiweka na wala sina attachment yake coz mm naomba shahada ya mwalim wa science. Msaada wenu wakuu nitoe hiyo grade a cetificate ili niweke Transcript. Mwenye uzoefu tafadhali.
Mbn Mimi attachment zinakataa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi imekuwa hivyo hivyo, baada tu ya ku upload transcript, ikatokea hiyo Grade A na transcript haitokei. Sasa sijui hilo tatizo linatatuliwaje?
Kiinabd mtu utume hvo hvo maana hakuna option kabsa
 
yaani tangu juzi vijana wanahangaika mtu wangu! nawajua vijana karibia wanne mara huku mara kule kwenye vikefu nothing doing!!!. website hiyo kuna pages hazikuwa tayari wakati tangazo linatoka; hapo ujue sasa hela ni ngumu kuipata halaf mtu anaweka tangazo kila kona wakati miundombinu haiko tayari watu wanaanza kupoteza hela kwenye vikefu na usafiri! mtu unajikuta unatamani kutukana. Deadline? tarehe 15 March!!!!! so bullllll!!!!!!
Keep trying brother, mtafutaji hachoki.
 
Back
Top Bottom