Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Jamani hii OTEAS mbona majanga, nimemfanyia mtu application nikamaliza vizuri, yeye ana degree nashangaa tena kwenye kupreview naona kuna attachment ya Grade A certificate kwamba ni miongoni mwa attachment nilizoweka wakati hata pale kwenye orodha yao ya vitu vya kuattach hicho kitu hakipo sasa hii inatoka wapi tena?. Pia Transcript nimeattach nikaambiwa imekuwa successfully uploaded lkn kwenye preview siioni!!
 
Jamani hii OTEAS mbona majanga, nimemfanyia mtu application nikamaliza vizuri, yeye ana degree nashangaa tena kwenye kupreview naona kuna attachment ya Grade A certificate kwamba ni miongoni mwa attachment nilizoweka wakati hata pale kwenye orodha yao ya vitu vya kuattach hicho kitu hakipo sasa hii inatoka wapi tena?. Pia Transcript nimeattach nikaambiwa imekuwa successfully uploaded lkn kwenye preview siioni!!
Sio wew tu hata me bro
 
Jamani hii OTEAS mbona majanga, nimemfanyia mtu application nikamaliza vizuri, yeye ana degree nashangaa tena kwenye kupreview naona kuna attachment ya Grade A certificate kwamba ni miongoni mwa attachment nilizoweka wakati hata pale kwenye orodha yao ya vitu vya kuattach hicho kitu hakipo sasa hii inatoka wapi tena?. Pia Transcript nimeattach nikaambiwa imekuwa successfully uploaded lkn kwenye preview siioni!!
Hata Mimi imekuja attachment ya Grade A, sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli huu mfumo ni janga, ukifikiri umefanikiwa kwa upande huu, kunaibuka tena bonge la tatizo. Transcript haionekani, mara Grade A certificate, tabu tupu.
Mkuu mi Leo nimemaliza application, ila inabidi utumie internet yenye speed ndio utafanikiwa ijapo nimetumia Siku nzima ya Leo. Pia transcript uki upload inakubali ila ukiangalia kwenye application report haitokei, so nilichokifanya nimeattach transcript kwenye sehemu ya oath certificate na imetokea
 
Mkuu mi Leo nimemaliza application, ila inabidi utumie internet yenye speed ndio utafanikiwa ijapo nimetumia Siku nzima ya Leo. Pia transcript uki upload inakubali ila ukiangalia kwenye application report haitokei, so nilichokifanya nimeattach transcript kwenye sehemu ya oath certificate na imetokea
Bonge la idea mwana
 
NIME UPLOAD CHETI CHA GRADE A BILA KWA BAHATI MBAYA. NATOAJE?? MWENYE UJUZI ANISAIDIE
Shot028.png
 
da
Mkuu mi Leo nimemaliza application, ila inabidi utumie internet yenye speed ndio utafanikiwa ijapo nimetumia Siku nzima ya Leo. Pia transcript uki upload inakubali ila ukiangalia kwenye application report haitokei, so nilichokifanya nimeattach transcript kwenye sehemu ya oath certificate na imetokea
dah! tangu saa saba nahangaika bila kujua chochote maana kila nikiUpload Transcript inakuja Grade A
 
Back
Top Bottom