Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Tatizo la kutizama GPA lipo sana katika hizi nchi zetu za Africa; na ninaamini linatupotezea vipaji sana. Leo kuna taarifa kutoka Afrika Kusini Rubani mmoja wa ndegu za SAA kaendesha ndege bila hata tatizo moja kwa miana 20 mnoko mmoja kagundua alipata kazi kwa kutumia vyeti feki; Wameamua afukuzwe kazi na kulipa faini sijui randi ngapi! mtu unabaki unajiuliza kipi muhimu: vyeeeti? au ujuzi????
 
Huu mfumo umehostiwa kwenye laptop....
halafu machine yenyewe ina 32 bit ya os
ipokee taarifa za walimu nchi nzima...
tuache dharau......
 
daaah cjapata kuona u slow wa huu mtandao,toka saa 3 ucku hadi saiz cjafanikiwa kuupload hata chet,
naomben kuuliza na barua tuna attach?
 
Tamisemi

mfumo wa maombi za walimu haufanyi kazi kabsa. tunaomba msaada. hata ku-login ni tatizo
INAONEKA KAMA ILIVYO HAPO CHINI;

This site can’t be reached
ajira.tamisemi.go.tz refused to connect.


ERR_CONNECTION_REFUSED
 
si wangetumia hata ajira portal. HII WIZARA LOCAL SANA
 
sawa,vip wew umefanikiwa ku upload vyeti? maana hapo ndo mziki ulipo,mwenye ujuz atujuze jamani
 
Si Bora Hawa jamaa wangetumia email ni rahisi kuliko mfumo wao huu. Kuna uwezekano wa kutajirisha makampuni ya simu kipindi hiki kwa sababu zaidi ya masaa 48 unatakiwa uwe online kujaribu kufikia hiyo site.
 
Back
Top Bottom