Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Msaada ujazaji wa Online Teachers Employment Application System (OTEAS)

Na vp kuhusu baadhi ya masomo kwenye barua yapo huku kwenye system hayapo ikoje hii!
 
Kuna Dogo nimemuombea hizo nafasi, nimeenda kupreview application report naona attachments hazipo..naweza kurudia kuattach halafu nitume tena?? Wenye kujua hili tafadhali.
 
Kuna Dogo nimemuombea hizo nafasi, nimeenda kupreview application report naona attachments hazipo..naweza kurudia kuattach halafu nitume tena?? Wenye kujua hili tafadhali.
Mkuu sema ni wewe waalimu tupo wengi humu
 
Mkuu ongera sana maana wenzio bado haifunguki we ulijaza mda gan?
Yes kila kitu tayari nilishafanya hapo yaani application iko complete. Swali langu ni je kuna mahali pa kubonyeza submit ili application iende? au ukishamaliza kujaza sehemu zote unaachia hapo hapo kwenye system bila kusubmit?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata`ajira portal. hii system iko down kinoma. nimefanya hadi saa 8 usiku nimefanikiwa kuregister tu.attachments zinagoma
 
Mimi pia nimekesha lakini attachments zimekubali mbili tu.
Huu mfumo ni legevu sana..but I think also applicants are so many..three and plus years have elapsed people are on streets without recruitment.. mfumo umesheheni waombaji wengi mno..
 
Salaam Wadau...

Hili Tangazo la ajira kwa walimu kwa mtandao mbona limekaa kama magumashi fulani hivi. Tangu juzi watu wanahaha kujisajili hicho kiwebsite hakipatikani; na kinapojitokeza kuna kuraza za website hazijakamilika matengenezo.

Palikuwa na sababu gani TAMISEMI kusambaza taarifa ya ajira wakati miundombinu ya huko mtandaoni haijakamilika? Au ndo ule utaratibu wa kutafuta sifa bila maandalizi?
 
Utumishi wana ajiri wenye GPA kubwa watu wakali wa system administration na IT kivitendo wanaachwa hata user interface(UI/UX) mbaya na sumbufu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kero kweli kwa vijana
yaani tangu juzi vijana wanahangaika mtu wangu! nawajua vijana karibia wanne mara huku mara kule kwenye vikefu nothing doing!!!. website hiyo kuna pages hazikuwa tayari wakati tangazo linatoka; hapo ujue sasa hela ni ngumu kuipata halaf mtu anaweka tangazo kila kona wakati miundombinu haiko tayari watu wanaanza kupoteza hela kwenye vikefu na usafiri! mtu unajikuta unatamani kutukana. Deadline? tarehe 15 March!!!!! so bullllll!!!!!!
 
Back
Top Bottom