DJ Kassu
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 382
- 282
- Thread starter
- #201
Nitafanya hivyo mkuu, shukrani sanaHuyo wife wako kuna kitu amekuficha ili usionekane mjinga,muulize vizuri.

Bado Huyo wakala anaweza kupatikana akatuelekeza vizuri utapeli alianza lini?!!Sio kirahisi ivo mkuu kwanza hao jamaa pia ni smart sana huyo Nyamizi masanja apo ni victim tu pengine particulars zake za nida zimesajili hio chip bila yeye hata kujua ivo Ukimtarget huyo utamtesa tu pengine ni bibi wa watu yupo shamba huko hajui ata smartphone unakuta alienda kwa wakala akambiwa weka alama ya kidole mara mbili. Hapo kuwapata nishuhuri haswa haswa mana nao wamejipanga afu unakuta ni watu ambao bado wapo kwenye hizo kampuni japo mshahara haujawahi kutosha ila kuna vitengo lazima viangaliwe sana haswa kwa vetting na masirahi kabla mtu hajasaini contract kimojawapo ni hicho IT
Umeongea ukweli mkuu, ndiyo maana kama umejiunga na simbanking ya aina yeyote kila mara bank husika wanasisitiza kutokutoa taarifa za password kwa mtu yeyote. Tatizo la watu huwa wanachukulia poa sana,huku wengine password zao ni rahisi sana,mfano mtu kuweka mwaka wa kuzaliwa au ziro nne n.kMkuu inaonekana wewe na mkeo wote uwezo wenu wa kufikiri hautofautiani...sababu mkeo kadanganywa kijinga mpaka katoa password za bank,so kaona kwa kuwa mme wake uwezo wa kufikiri mnafanana nayeye kakudanganya na wewe umekubali...na huenda huyo kibaka angekukuta wewe na mkeo angewadanganya wote mumpe password za bank na mngempa kweli pasipo kufahamu...mkuu usiwe mrahisi hivyo...haiwezekani,haiwezekani,haiwezekani mtu kukuibia salio kweny account ya bank pasipo kujua password...narudia tena haiwezekani,sorry kwa comment yangu nimeandika nikiwa na ghadhabu sana...na kilichonipa ghadhabu ni kwanini wewe unadanganywa na unaingia kingi kirahc,kutapeliwa kwa watoto wa kike ni kitu cha kawaida..ilitakiwa akuelekeze tu nini kilichotokea but sio kukudanganya hivyo ili aonekane sio mshamba wakati kapigwa kishamba sana
Kama amesajiliwa NIDA mbona taarifa zake na za wazazi wake na alikozaliwa zipo. Hata mjumbe wake anajulikana. Aende polisi wataenda nida atakamatwa Kama kuku wa kisasa.Huyo natakiwa nimpate nimwajiri aisee
Hapana si kweli swala la kusema techno phone haiwezi toa picha yenye uhalisia wa muhusika ni uzushi..Yale majitu ni ngumu sana kukamatika...na simu zetu techno hizo sura inatoka kama sio yeye!
Wee jamaa siye kweli, watu wanaongelea technology we unaongelea ramli kweli?Kuna mawili hapo
1. Mke kashirikiana na huyo tapeli, wanawake sio wa kuwaamini, kiufupi hakuna mtu unapaswa kumwamini kiasi kile.
2. Jamaa aliyetapeli ni mzuri kwenye IT na aefanya kazi kwenye hayo mabenki.
Sasa ili kutaka kujua kama huyo mke hajashiriki fanya kama unamwambia utaenda kwa Mganga wa Kienyeji Kigoma au Sumbawanga na ukazie hapo hapo uone anaitikiaje ..!? Ukiona anakuja na wazo la kuicrush hiyo ishu jua tayari mwizi unaye ndani kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida wanaosajili hao wanaotembea, wanakusajilia wakimaliza kila kitu wanakuambia kunasehemu kakosea anaanza upya kukusajili, kwahiyo anasajili mbili laini nyingine inauzwa kwa hela nyingi tu kwa matapeli, halafu laini zilizofungwa kuna mtu alikamatwa kazi yake kuzifungua kwa hiyo bado kuna kaziKama amesajiliwa NIDA mbona taarifa zake na za wazazi wake na alikozaliwa zipo. Hata mjumbe wake anajulikana. Aende polisi wataenda nida atakamatwa Kama kuku wa kisasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, haya mambo yasikie kwa jirani tu. Tena hawa wake zetu wanavyojua kuamini watu kirahisi, tuombe Mungu tu.Unamuamini vipi wakala wa barabarani tena mtembea kwa miguu hana ofisi afu unampa simu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana hakupita serikali za mitaa na uhamiaji? Hata Kama jina fake nida walipiga picha. Je na picha itakuwa fake?
Mkuu dunia kubwa hii acha ubishi asee .Mkuu inaonekana wewe na mkeo wote uwezo wenu wa kufikiri hautofautiani...sababu mkeo kadanganywa kijinga mpaka katoa password za bank,so kaona kwa kuwa mme wake uwezo wa kufikiri mnafanana nayeye kakudanganya na wewe umekubali...na huenda huyo kibaka angekukuta wewe na mkeo angewadanganya wote mumpe password za bank na mngempa kweli pasipo kufahamu...mkuu usiwe mrahisi hivyo...haiwezekani,haiwezekani,haiwezekani mtu kukuibia salio kweny account ya bank pasipo kujua password...narudia tena haiwezekani,sorry kwa comment yangu nimeandika nikiwa na ghadhabu sana...na kilichonipa ghadhabu ni kwanini wewe unadanganywa na unaingia kingi kirahc,kutapeliwa kwa watoto wa kike ni kitu cha kawaida..ilitakiwa akuelekeze tu nini kilichotokea but sio kukudanganya hivyo ili aonekane sio mshamba wakati kapigwa kishamba sana
Mwamba noma sana mkuu. ShukraniNEXT LEVEL-CRIME NAMPA SALUTE HUYO MWAMBA KUBLOCK ACCESS ZOTE HIZO NA KUCHUKUA PESA KIRAHIS..PIA POLE SANA MKUU.
TUWE NA SUBIRA ATAKUJA MJUZI MDA SIO MREFU KUELEZA JINSI ALIVO FANYA FANYA MPKA AKAFANIKIWA KUIBA HIZO HELA.

Ingia YouTube cheki how to access bank account by using apn utaona kila kitu iyo ishu sio ngumu ata kidogo,
Ushauri usiruhusu mtu kushika simu yako ya uwakala ni tatizo.
Pole mkuu izo pesa zimeenda na utakuta jamaa anatumia dark web security ya Tz haina uwezo wa kumkamata hata wafanyaje ni kama kigogo
Simulia mkuu tujifunzeMkuu huu msiba ni wa jirani ndiyo maana unasema hivyo.
Hauwezi kupisha chambo cha tapeli, maana haukosi udhaifu wa kibinadamu na ndiyo fursa yao.
Wewe kama upo strong, basi washua hupitia hata kwa mama watoto ili akushawishi ulegee!
Tapeli hana sura wala rangi, yaani ni shetani anayekunasa kwa udhaifu wako wa sekunde1, ana uwezo wa kukulia mingo ya mwaka mzima kusubiria udhaifu wako wa sekunde!
Mimi ni mgumu na ni mjanja, lakini nikikusimulia kisa cha namna nilivyotapeliwa utastaajabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
OK. Mkuu hili ni la kizembe. Sioni tahadhari yoyote uliyochukuwa. Ungemwambia alete mzigo ukiuona ndiyo umkabidhi cash. Na zaidi..... kujiepusha na utapeli siku zote epuka rahisi au short cut.Mkuu mimi nina duka wanasema: 'la kwa mangi' zaga zaga zote huuza.
Kuna siku moja majira ya saa5 kuna njemba moja ikanikuta dukani huku imevaa tabasamu la kidugu.
Ikanisalimia kwa adabu sana.
Baadae akajitambulisha kuwa ni mtumishi wa railway.
kanambia kwamba yupo kitengo cha karakana, hivyo ofisini kwao huwa wanaletewa mgao wa sabuni kwa ajili ya usafi.
Lakini kila mgao ukitolewa wao huziuza madukani ili wapate pesa na bei wanayouza ni rafiki kwetu wafanyabiashara, maana ni vunja bei.
Nikamuuliza ana katoni ngapi, akaniambia zipo 10.
Ili kujikosha asionekane tapeli akanambia: 'mzee sisi hatupokei hela ya mtu hadi tumemkabidhi mzigo wake'.... 'mzee kwa kuwa una usafiri tupatie kijana wako tukamkabidhi'.
Kijana wangu alikuwepo kweli, nami siku hiyo nilikuwa bize, nikamtuma afuatane naye na kiasi cha pesa tuliyokuwa tumekubaliana akawa nazo kijana!
Walipofika eneo la station habari ikabadilika, kijana wangu akaelezwa asubiri nje, dakika 0 jamaa likarudi, likamwambia kijana: 'boss kasema mzigo hatoi mpaka cash'.
Kijana akakabidhi pesa zote tulizokubaliana akaendelea kusubiri hapo nje.
Akakaa zaidi ya masaa mawili, mwisho akajiongeza,akaingia ndani kufuatilia.
Jamaa hakuwemo na kuna mlango upo wazi uani.
Ndani alikutana na wafanyakazi wapo bize na mambo yao, kuulizia wajihi wa huyo mtu, wakamwambia hawana staff wa hivyo.
Pamoja na umakini wangu, lakini neno moja tu lililonifubaza ni yule tapeli kujishusha na kusema...' sipokei hela ya mtu mpaka nimkabidhi mzigo wake'....
Hivyo ndivyo nilivyotapeliwa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uko nchi hii kweli? Utaratibu wa sasa ukisha provide nida id number hakuna tena swala la kupigwa picha bali una verify kwa fingerprints tu na iyo nida Number ndo imebaba particulars zako zote mpaka mapicha yako,ivo hio line inayotumika kutapeli una sajili wewe mwenyewe bila kujua na inaenda kuuzwa kwa bei kama huamini kutana na wakala hawa wanaotembea muambie sina ID umsikie, Bongo we have long journey yani Elimu elimu elimuIna maana hakupita serikali za mitaa na uhamiaji? Hata Kama jina fake nida walipiga picha. Je na picha itakuwa fake?
Sent using Jamii Forums mobile app