Msaada: Tumetapeliwa!

Msaada: Tumetapeliwa!

Ahahahaha boss haya mambo yetu ujue.
Huwezi kumkamata hata ufanye vipi huwa wanatumia stingrays ku-trace location ya simu n.k
.
Sasa mimi nimekuja na Nokia tochi OG moja ya simu zenye strong security ambayo ina laini yangu ya Vodacom niliyoisajili kiwizi kutoka kwa Ashura Justin bila yeye kujua nikaiba fedha zako nikajitumia nikaenda nikatoa fedha nika-block IMEI nikaitupa utanipataje?
Vibaka wana akili hiyo?...sema sisi wabongo vitu vingi tunapotezea tu ila hata Bank mtu akitoa hela position/location inaonekana vizuri tu
 
Nilianza kuandika hapa ila nimefuta ila iko hivi hakuna assurance ya security ukiwa na kifaa chochote kinacho radiate EM waves, Yani ukiwa ndani ya network tu kuwa tracked down ni swala la muda na expertise ya wanaokutafuta, Ukitaka safety 100% Usitumie kabisa vifaa vya kielectronics
Ni kweli na ndio maana mtu yeyote anayefanya uhalifu unaohusisha electronic devices itambidi awe mzuri kwenye computer networks.
.
Alafu kila kukicha mbinu mpya za kufanya uhalifu kimtandao zinaongezeka, hizi tracing hazisumbui kabisa wajanja.
 
Vibaka wana akili hiyo?...sema sisi wabongo vitu vingi tunapotezea tu ila hata Bank mtu akitoa hela position/location inaonekana vizuri tu
Boss tufanye ni kweli huyu wakala kaiba fedha za huyo mwanamke nakufanya hayo yote mengine unahisi ni mtu mwenye uwezo mdogo? Kuna mtu na degree au masters yake ya IT, CS au CE anaweza fanya hilo?
 
Pin mke wako ametoa kwa namna moja ama ingine ila kukwambia anashindwa anajua kifuatacho.
Uwongo 6:10
watakaokataa ukweli hadi mwisho wataaminika
 
Ngoja nirudie NILICHOJIFUNZA KWA KUPITIA COMMENTS ZA WAKURUNGWA kwa sauti ili nijue kama nimeeewa:

1. 'Kaka wakala' alifanikiwa kupata PASSWORD toka kwa mkeo. (Wapwa wametaja namna ambazo mtu anaweza ku-access password)
2. Akavuruga 'APN' kiasi ambacho ikawa haiwezi ku-support Apps ku-function.
3. Aka-set 'CALL BARRING' ili mkeo asiweze ku-dial menu ya SIMBANKING.
4. Hatimaye akachomoa mpunga.

Si ndo mlisema wajuba au?
 
Back
Top Bottom