Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Poa za wewe
Sijambo, thanks.
Poa za wewe
Umepotea sanaSijambo, thanks.
Umepotea sana
Vibaka wana akili hiyo?...sema sisi wabongo vitu vingi tunapotezea tu ila hata Bank mtu akitoa hela position/location inaonekana vizuri tuAhahahaha boss haya mambo yetu ujue.
Huwezi kumkamata hata ufanye vipi huwa wanatumia stingrays ku-trace location ya simu n.k
.
Sasa mimi nimekuja na Nokia tochi OG moja ya simu zenye strong security ambayo ina laini yangu ya Vodacom niliyoisajili kiwizi kutoka kwa Ashura Justin bila yeye kujua nikaiba fedha zako nikajitumia nikaenda nikatoa fedha nika-block IMEI nikaitupa utanipataje?
Ni kweli na ndio maana mtu yeyote anayefanya uhalifu unaohusisha electronic devices itambidi awe mzuri kwenye computer networks.Nilianza kuandika hapa ila nimefuta ila iko hivi hakuna assurance ya security ukiwa na kifaa chochote kinacho radiate EM waves, Yani ukiwa ndani ya network tu kuwa tracked down ni swala la muda na expertise ya wanaokutafuta, Ukitaka safety 100% Usitumie kabisa vifaa vya kielectronics
Boss tufanye ni kweli huyu wakala kaiba fedha za huyo mwanamke nakufanya hayo yote mengine unahisi ni mtu mwenye uwezo mdogo? Kuna mtu na degree au masters yake ya IT, CS au CE anaweza fanya hilo?Vibaka wana akili hiyo?...sema sisi wabongo vitu vingi tunapotezea tu ila hata Bank mtu akitoa hela position/location inaonekana vizuri tu
Huyo mwamba ni hatari.
Oooh that's greatNipo, sema tunapishana.
Na kuna muda nasoma tu naelewa posts natulia.