Msaada: Tumetapeliwa!

Msaada: Tumetapeliwa!

Wewe uko nchi hii kweli? Utaratibu wa sasa ukisha provide nida id number hakuna tena swala la kupigwa picha bali una verify kwa fingerprints tu ivo hio line inayotumika kutapeli una sajili wewe mwenyewe bila kujua na inaenda kuuzwa kwa bei kama huamini kutana na wakala hawa wanaotembea muambie sina ID umsikie, Bongo we have long journey yani Elimu elimu elimu mtu .
Kabisa mkuuu kuna laini kibao zinauzwaa kwa watu ambao sio Wamiliki halali...!!! Noma sanaa safari bado ni ndefu sio kitoto
 
Shida mtu akitapeliwa LAZIMA achanganye Ukweli na Uongo ili asionekane boya sana.

Kwa maana utapeli wakati mwingine huwa hadi mwenyewe unakuwa huamini kama umepigwa kiboya hivyo ni kama nguvu za giza zimetumika.

FUNDISHO:Ipe simu yako thamani ya pesa zako zilizoko bank/Mpesa/Airtel Money yaani ukiiangalia simu yako huoni TECNO bali unaona pesa zilizoko kwenye accounts zako,hautokaa umpe stranger kirahisi hivyo!
 
Wife kakuzidi akili mkuu
Kiufupi wife ndo tapeli hapo kakuchezea kiini macho hahahaa

Kesho utasikia baby naomba milion 1 siunajua nimetapeliwa sina kitu kabisa account zote
 
Mkuu huu msiba ni wa jirani ndiyo maana unasema hivyo.

Hauwezi kupisha chambo cha tapeli, maana haukosi udhaifu wa kibinadamu na ndiyo fursa yao.

Wewe kama upo strong, basi washua hupitia hata kwa mama watoto ili akushawishi ulegee!

Tapeli hana sura wala rangi, yaani ni shetani anayekunasa kwa udhaifu wako wa sekunde1, ana uwezo wa kukulia mingo ya mwaka mzima kusubiria udhaifu wako wa sekunde!

Mimi ni mgumu na ni mjanja, lakini nikikusimulia kisa cha namna nilivyotapeliwa utastaajabu!


Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe tujifunze mkuu iko kisa chako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandiko wa wife mbona unaonyesha kuwa ni mtu,kakaa pahala.na. ame relax kabisa,pengine na ka Serengeti lite kwa pembeni?!Ila basi wajuvi zaidi tuwangoje.
 
Kuna mawili hapo
1. Mke kashirikiana na huyo tapeli, wanawake sio wa kuwaamini, kiufupi hakuna mtu unapaswa kumwamini kiasi kile.
2. Jamaa aliyetapeli ni mzuri kwenye IT na aefanya kazi kwenye hayo mabenki.


Sasa ili kutaka kujua kama huyo mke hajashiriki fanya kama unamwambia utaenda kwa Mganga wa Kienyeji Kigoma au Sumbawanga na ukazie hapo hapo uone anaitikiaje ..!? Ukiona anakuja na wazo la kuicrush hiyo ishu jua tayari mwizi unaye ndani kwako


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hii story kwangu bado nashindwa kuamini kama kweli hao jamaa wame break hizo security kirahisi simaanishi haliwezekani ila sio kirahisi ivo, Nashauri Point muhimu zaidi ni kuanza kuongea na Wife vizuri sana muite Sehemu msisikilize anavyojieleza, I smell something fishy hapo, simaanishi mke kakuzunguka ila watch her steps carefully hawa viumbe hawa hawa hawa hawa.

Ila swala la Internet àcces apo set upya tu au may be jamaa awe ali download firewall ya kuzinyima acces hizo app ila kwa inshu ya bank apo bado naumiza kichwa
Asante sana mkuu, nitafanyia kazi ushauri wako. Lakini unazungumziaje suala la kufungiwa access katika akaunti zote mbili ilhali passwords ni tofauti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msemo wa kiswahili unasema "Ukitaka kutafuta nyoka anza kumulika miguuni pako". Mkuu hebu pia mfinye wife kidogo maana kwahiyo attachment uliyoweka hapo naona Kama wife mjanja mjanja kiaina.
Shukrani sana mkuu. Nimepokea ushauri wako, utafanyiwa kazi accordingly. Bless up!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom