Pole sana brother!
Huyo dogo yupo next level why is he wasting his talent?
Sent using Jamii Forums mobile app



Huyo natakiwa nimpate nimwajiri aiseePole sana brother!
Huyo dogo yupo next level why is he wasting his talent?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mkeo mbona ana lugha za mtaani sana. Eti " mpunga". Usimuamini hata kidogo.

kuita mpunga ni kufanya masihara na helaneti=internet; mpunga=fedha/pesa. Una pointi nduguKuna msemo wa kiswahili unasema "Ukitaka kutafuta nyoka anza kumulika miguuni pako". Mkuu hebu pia mfinye wife kidogo maana kwahiyo attachment uliyoweka hapo naona Kama wife mjanja mjanja kiaina.
Wakuu hii story kwangu bado nashindwa kuamini kama kweli hao jamaa wame break hizo security kirahisi simaanishi haliwezekani ila sio kirahisi ivo, Nashauri Point muhimu zaidi ni kuanza kuongea na Wife vizuri sana muite Sehemu msisikilize anavyojieleza, I smell something fishy hapo, simaanishi mke kakuzunguka ila watch her steps carefully hawa viumbe hawa hawa hawa hawa.
Ila swala la Internet àcces apo set upya tu au may be jamaa awe ali download firewall ya kuzinyima acces hizo app ila kwa inshu ya bank apo bado naumiza kichwa
Just connecting dots. Wife dezaini mtundu mtundu jamaa aende extra miles. Hata Kama hakuusika ila inaweza kumsaidia time nyingine.neti=internet; mpunga=fedha/pesa. Una pointi ndugu
Huwezi kuamisha hela pasipo pin wife anajua alichokifanya either ame save pin kwenye sim au kuna alitamkaHapana wife hana kosa,ila ni uwiz mpya technology ni pana sana mkuu tusimgombanishae jamaa na mkewe