RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
inawezekana piaHuwezi kuamisha hela pasipo pin wife anajua alichokifanya either ame save pin kwenye sim au kuna alitamka
Sent using Jamii Forums mobile app
inawezekana piaHuwezi kuamisha hela pasipo pin wife anajua alichokifanya either ame save pin kwenye sim au kuna alitamka
Sent using Jamii Forums mobile app
Aseah pole sana kila siku wezi wanabuni njia mpya ya kufanya wizi hawa mawakala wanaotembea mitaani wengi wanawalalamikia kwavitendo vya wizi wa mitandaoni
Kuna siku mtaan napoishi walipita hawa mawakala wakinadi wanasajili laini kwa alama za vidole sasa mke wangu aliwaita wamsajilie mmoja ya wale mawakala akawa naendelea na zoezi la kumsajilia mke wangu lakin mke wangu katika simu yake kaset typing prediction on alichokua anafanya yule wakala aliingia kwenye menu ya halopesa akawa anafanya muamala mara ikaingia sms kwenye simu sasa yule wakala akawa anataka kuifuta wife analazimisha lazima aisome dah ukawa mzozo kuna jirani akanipigia simu kwakua sikua mbali nikaenda faster kufika nakuta watu washajaa wakala kagoma simu isisomwe sms nikamwambia kama kweli hakuna tatizo kwann simu aikatazie mana hata kumpa mwenye simu hataki mpaka amalize usajili ikabidi nguvu itumike kuitoa lock jamaa kaamisha 765000 tulipompa kibano akaeleza njia mojawapo ni typing prediction yaan kama simu ikiwa na typing prediction on basi hawa vijana wanaibia watu kirahisi sana tuweni makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaaa haaaaaaaaHuyo mkeo mbona ana lugha za mtaani sana. Eti " mpunga". Usimuamini hata kidogo.
Nimecheka Kama mazuri.We mchonganishi eeeh??Wife wako mzito sana aisee.!.akiendelea hivo atalizwa zaidi ya hapo..umemtoa wapi huyu???
Huenda alisajilia jina fake.Na Matapeli wengi Wapo hivyoVODACOM +255 743 938 273 iliyosajiliwa kwa jina la NYAMIZI MASANJA. Ushapata jina lake na namba ya simu ya evidence afu unashindwa kumpa may be huna shida nae tu, elfu 60 tu ukienda polisi ukaongea na wahusika huyo unampata ndaki ya masaa 6 tu , tena unampata yeye na ukoo wake wote.
Mi nikiamua kumwinda mtu Tanzania hii nampata yeye na ukoo wake wote.
Warning: huyo jamaa ataendelea kupata hela zote zinazoningia bank na tigopesa/mpesa mpaka mmpate au mtelekeze hizo akaunti na laini zote na simu muitupe
Kivipi hii?? embu elezea zaidiApo mkuu kuna menu ukibonyeza inatokea maneno ambaye yanamtaka mhusika aweke namba ya siri then jamaa anamwambia aweke namba ya siri yeye bila kijua baada ya apo inaleta sms ile sms inapokuja inakuwa ina namba ya siri kwahiyo wakala anafungua ile sms anasoma fast then anafuta ....pole sana mkuu tuwe makin
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inanitokea mara kwa mara nnapokua nmeshafanya muamala kutuma ela kwa NMB Mobile.saa nyingine hata mimi nahisi nadukuliwa nikimtumia mtu fedha...
Sio jina tu yaani laini ukiweka kwenye simu inasoma mpaka eneo ulipo na mawasiliano yake yote unayapata kuanzia text,call na internet.Matumizi ya simu sio salama kila kitu chako kipo wazi na mtu akikitaka anakipata
duh! umakini mkubwa unahitajikaAseah pole sana kila siku wezi wanabuni njia mpya ya kufanya wizi hawa mawakala wanaotembea mitaani wengi wanawalalamikia kwavitendo vya wizi wa mitandaoni
Kuna siku mtaan napoishi walipita hawa mawakala wakinadi wanasajili laini kwa alama za vidole sasa mke wangu aliwaita wamsajilie mmoja ya wale mawakala akawa naendelea na zoezi la kumsajilia mke wangu lakin mke wangu katika simu yake kaset typing prediction on alichokua anafanya yule wakala aliingia kwenye menu ya halopesa akawa anafanya muamala mara ikaingia sms kwenye simu sasa yule wakala akawa anataka kuifuta wife analazimisha lazima aisome dah ukawa mzozo kuna jirani akanipigia simu kwakua sikua mbali nikaenda faster kufika nakuta watu washajaa wakala kagoma simu isisomwe sms nikamwambia kama kweli hakuna tatizo kwann simu aikatazie mana hata kumpa mwenye simu hataki mpaka amalize usajili ikabidi nguvu itumike kuitoa lock jamaa kaamisha 765000 tulipompa kibano akaeleza njia mojawapo ni typing prediction yaan kama simu ikiwa na typing prediction on basi hawa vijana wanaibia watu kirahisi sana tuweni makini
Sent using Jamii Forums mobile app