Umewaza Kama mimi mkuu, pole kwa familia ya mshkaji waliopoteza mpunga mrefu maana account mbili sio mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
khaaaaa...
Kila kukicha watu wanakuja na njia mpya...
Hao watu wawili waliokua pembeni, ni team moja walipangana tuu,
Ukiona mtu anakutangazia fursa halaf from nowhere tuu anatokea mtu anadakia, kimbia...
Japo pia hili suala ukizingatia security ya Bank na mitandao ya simu, basi Inatakiwa uwe na imani kubwa sana kutofikiria nje ya boks, ubaki hapo hapo kwa huyo wakala,
Ngoja na mimi niingie ndani ya 18 Nisije onekana mchawi.
Poleni sanaa..
Sent using Jamii Forums mobile app




