Msaada: Tumetapeliwa!

Msaada: Tumetapeliwa!

Kaibiwa kitoto sana

Iko hiviii, anakuja anakwambia naunga promotion
Unachekacheka

Anakuomba simu
Unatoa

Anapiga namba flani(sifundishi ukaibie watu), anafuata maelekezo ya hiyo menyu, inafika mahali anakwambia ingiza namba yako ya siri, usinionyeshe
Unaingiza, unabonyeza send, unamrudishia simu

Namba yako ya siri inakuwa sio sehemu ya machaguo yaliyotolewa kwenye menu, anapokea ujumbe unaosema chaguo lako 1234 sio sahihi
Hiyo 1234 ndio password yako, anakuwa ameshaiona, anajihamishia mpunga wako wote kwenye simu yako, anaitia simu yako kwenye barring, huyooooooo, anachanganya makalio, anaenda mtaa wa pili anachomoa mpunga kwa wakala, anadaka bodaboda, mburahati mpaka mbagala utampatia wapi tena. Ukimtafuta kwenye usajili wa simu, unakuta ni mbibi mmoja asiejua kusoma wala kuandika yupo nanjilinji mtwara vijijini ndani ndani huko, hana moja wala kumi na moja, walimtengenezea laini kimagumashi bila kujijua ndio wamepigia mishe.

Balaa linakuja kama password hiyo ya mpesa ndio hiyohiyo ya tigopesa, simbanking na nyinginezo, hapo mwamba atakuonyesha kwann barakoa inaumiza masikio, utajuta. Atapita nazo kote huko.

NB. Kama unashida ya kuungwa bando la chuo tembelea tovuti ya mtandao wako husika utapata maelekezo au fika ofisini kwao.
Kupitia hii njia wamepigwa wengi ..... Hasa wale wanaojiona wale hawawezi kutapeliwa kirahisi rahisi
 
Kwa hiyo mke kajiibia pesa kwa kushirikiana na wakala?
You never know.

Kuna mtu siku moja alishauri......

Hata vyeti ...namaanisha academic certificates na vyinginezo ni vizuri mwenza wako asivizoee namaanisha ikiwezekana asivione....

Anaweza kukusababishia usumbufu ....sembuse fedha?

Mwanzoni huo ushauri sikuuelewa ...ILA Kwa kadiri wanandoa wanavyopigana matukio naanza kuufikiria
 
Wakuu ninaomba msaada wenu katika hili...

Ilikuwa siku ya Jumamosi ya tarehe 23/05/2020 nilipokea taarifa kutoka kwa wife akinitaarifu kuwa ametapeliwa na wakala wa mitandao ya simu aliyekuwa amevalia mavazi na kitambulisho cha kampuni ya TIGO.

Wakala huyo alifika dukani kwake na kumwambia kuwa anaunganisha vifurushi vya chuo, hapo dukani palikuwa na wateja wawili ambao nao waliomba kupatiwa hiyo huduma kutoka kwa wakala huyo na walionesha kuridhika na huduma yake.

Wife alivyoona wateja hao wamepatiwa huduma na wameprove inafanya kazi vizuri naye aliomba aunganishwe. Alimpatia simu wakala huyo na, kutokana na maelezo yake, alikuwa anashuhudia kila kitu alichokuwa anafanya. Anasema kwamba wakala huyo alitumia muda mwingi katika eneo la 'Access Point Names' (APN).

Baada ya dakika kadhaa alimaliza shughuli yake na kumrudishia wife simu yake na alimtaka ajaribu kama mtandao unafanya kazi ambapo mwanzoni uligoma, akamrudishia simu akaenda tena kwenye APN akarekebisha akamwambia ajaribu ndipo mtandao ukarudi. Alimuaga na kumuhakikishia kwamba kila kitu kipo vizuri na atarudi baadae ili kupata mrejesho. Katika mchakato wote huo, wakala hakuomba wala kuonesha dalili yoyote ya kutaka kufahamu namba ya siri ya TigoPesa wala Bank katika mazungumzo yake.

Baada ya wakala huyo kuondoka wife alipata hitaji la kuhamisha fedha kutoka CRDB SimBanking kwenda kwa mtu aliyemuagiza mzigo. Tatizo lilianza kila anapoingiza menu ya SimBanking (*150*03#) anapata error inayoleta ujumbe 'Try Again Later....'

Baada ya kujaribu muda mrefu bila mafanikio alinipigia na kuniuliza endapo SimBanking yangu inafanya kazi, nilimwambia ipo poa. Pia baada ya kuconfirm na watu wengine na kuambiwa hakuna shida yoyote ndipo alianza kuhisi 'hali ya hatari' kwamba kuna kitu yule wakala amefanya kwenye simu yake.

Alipiga simu Huduma kwa Mteja CRDB akaambiwa kuwa muda si mrefu ametoa fedha (kiasi kimehifadhiwa) kutoka katika akaunti yake kwenda kwenye namba ya VODACOM +255 743 938 273 iliyosajiliwa kwa jina la NYAMIZI MASANJA. Pamoja na wife kuwataarifu watu wa Bank situation iliyotokea still walisisitiza kuwa fedha hizo amezihamisha yeye. Kitu pekee ambacho wameshindwa kukitolea maelezo hadi sasa ni error ya 'Try Again Later....' ambayo ni kama vile wameblock asiweze kuaccess SimBanking yake.

Alipiga simu VODACOM na kutaarifiwa kwamba fedha hiyo imeshatolewa kwa wakala na hivyo hawana cha kufanya. Tuliwarudia tena watu wa TIGO na walisisitiza kuwa endapo Transaction hiyo ingefanyika kwa TIGOPESA basi wangewajibika kuifuatilia lakini kwakuwa ni Bank tufuatilie kwenye taasisi husika!

Pia namba hiyo ya wife imeunganishwa na
NMB Mobile Banking, tulipoangalia salio huko napo tulikuta pesa yote imechukuliwa pia. Na kila akiingiza menu ya NMB Mobile Banking *150*66# nayo inaleta same error ya 'Try Again Later....' Kiufupi ni kwamba Wakala huyo aliweza kubreak Bank Accounts zote ambazo zimekuwa linked na hiyo namba ya TIGO na kuziblock zisiweze kutumika kupitia namba hiyo (hadi sasa)!

To cut the long story short, ni kwamba tangu siku hiyo ya Jumamosi, wife hawezi tena kuingia kwenye SimBanking & NMB Mobile Banking, hapati meseji za TIGOPESA, vifurushi na meseji za aina zote zinazohusiana na huduma za TIGO. Pia Internet haifanyi kazi, App pekee ambayo inakubali mtandao ni WhatsApp tu, but the rest (Google, Facebook, etc) hazifanyi kazi kabisa!

Personally, huwa ni mtundu kiaina kwenye mambo ya IT but this level of crime has amazed me so much. Inakuwaje mtu anaweza kuingia kwenye Bank Accounts na kujitumia pesa bila namba ya siri? How come baada ya kufanya hivyo anakuwa na uwezo wa kublock systems zote zinazohusiana na namba husika in just a matter of few minutes? Nimekuwa nikiamini kuwa Security ya Banking Systems huwa ni Strong sana lakini hii situation imebadilisha mawazo yangu completely!!

Wakuu, ninaomba tujadili inawezekanaje mtu akaweza kubreach systems za Bank kirahisi na ndani ya muda mfupi kiasi hicho. Is it possible mhusika akawa ni mtu mmoja? Au ni hacking device/software ipi ina uwezo wa kuscan log files/strokes za password zilizokuwa typed kwenye simu na kuweza kulock kila kitu kinachohusiana na device husika?

Ninatanguliza shukrani na samahani kwa andiko refu!
View attachment 1459093View attachment 1459092View attachment 1459091View attachment 1459094View attachment 1459097

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu wala sishangaii kwa Tukio hilo, Trh 30/2/2020 nilimrushia rafk yangu pesa kwa akaunt ya Nmb kwenda Nmb kupitia nmb mobile ile pesa ikaenda na sms akapata. laki 3. Lakini alivyokwenda bank ile pesa hakuikuta. wote tukashangaa.

Tarh 7/3/2020 nikamrushia pesa rafk yangu mwingine laki 2 kupitia cm hivo hivo naye tena hakukuta ile pesa ila kwangu zinapungua wao hazionekani.

Niliwaza sana nikaenda bank kuchukua bank statement sikupata msaada nikapiga voda sikupata msaada.

Baadaye nikawaza sana sana sikujuwa hizo pesa zinaenda wapi??.

ikabidi sasa niwaze nje ya boksi kwa MAIT na majanja wa cm mwisho cku tukapata majibu kuna rafk yangu alikuwa anawasiliana na mimi dairy baadaye akahaki line yangu so nilikuwa nikituma pesa anazidaka juu kwa juu ila kwa mhusika inaenda sms pesa hakuna.

MUNGU HANA KAMATI KATIKA MAAMUZI NAMSHKRU YULE JAMAA MPAKA SASA AMETANGULIA AHELA MADUKANI.

Kwa hiyo wezi wako vzr sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Customer waliohudumiwa kabla ya mkeo mna uwezo wa kuwapata?

Jibu kama ni ndio uwezekano wa kumpata mwizi wenu upo kwa 90%
 
Aseah pole sana kila siku wezi wanabuni njia mpya ya kufanya wizi hawa mawakala wanaotembea mitaani wengi wanawalalamikia kwavitendo vya wizi wa mitandaoni

Kuna siku mtaan napoishi walipita hawa mawakala wakinadi wanasajili laini kwa alama za vidole sasa mke wangu aliwaita wamsajilie mmoja ya wale mawakala akawa naendelea na zoezi la kumsajilia mke wangu lakin mke wangu katika simu yake kaset typing prediction on alichokua anafanya yule wakala aliingia kwenye menu ya halopesa akawa anafanya muamala mara ikaingia sms kwenye simu sasa yule wakala akawa anataka kuifuta wife analazimisha lazima aisome dah ukawa mzozo kuna jirani akanipigia simu kwakua sikua mbali nikaenda faster kufika nakuta watu washajaa wakala kagoma simu isisomwe sms nikamwambia kama kweli hakuna tatizo kwann simu aikatazie mana hata kumpa mwenye simu hataki mpaka amalize usajili ikabidi nguvu itumike kuitoa lock jamaa kaamisha 765000 tulipompa kibano akaeleza njia mojawapo ni typing prediction yaan kama simu ikiwa na typing prediction on basi hawa vijana wanaibia watu kirahisi sana tuweni makini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ungedadavua kidogo kuhusu njia hiyo ya predectoin

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Wakuu ninaomba msaada wenu katika hili...

Ilikuwa siku ya Jumamosi ya tarehe 23/05/2020 nilipokea taarifa kutoka kwa wife akinitaarifu kuwa ametapeliwa na wakala wa mitandao ya simu aliyekuwa amevalia mavazi na kitambulisho cha kampuni ya TIGO.

Wakala huyo alifika dukani kwake na kumwambia kuwa anaunganisha vifurushi vya chuo, hapo dukani palikuwa na wateja wawili ambao nao waliomba kupatiwa hiyo huduma kutoka kwa wakala huyo na walionesha kuridhika na huduma yake.

Wife alivyoona wateja hao wamepatiwa huduma na wameprove inafanya kazi vizuri naye aliomba aunganishwe. Alimpatia simu wakala huyo na, kutokana na maelezo yake, alikuwa anashuhudia kila kitu alichokuwa anafanya. Anasema kwamba wakala huyo alitumia muda mwingi katika eneo la 'Access Point Names' (APN).

Baada ya dakika kadhaa alimaliza shughuli yake na kumrudishia wife simu yake na alimtaka ajaribu kama mtandao unafanya kazi ambapo mwanzoni uligoma, akamrudishia simu akaenda tena kwenye APN akarekebisha akamwambia ajaribu ndipo mtandao ukarudi. Alimuaga na kumuhakikishia kwamba kila kitu kipo vizuri na atarudi baadae ili kupata mrejesho. Katika mchakato wote huo, wakala hakuomba wala kuonesha dalili yoyote ya kutaka kufahamu namba ya siri ya TigoPesa wala Bank katika mazungumzo yake.

Baada ya wakala huyo kuondoka wife alipata hitaji la kuhamisha fedha kutoka CRDB SimBanking kwenda kwa mtu aliyemuagiza mzigo. Tatizo lilianza kila anapoingiza menu ya SimBanking (*150*03#) anapata error inayoleta ujumbe 'Try Again Later....'

Baada ya kujaribu muda mrefu bila mafanikio alinipigia na kuniuliza endapo SimBanking yangu inafanya kazi, nilimwambia ipo poa. Pia baada ya kuconfirm na watu wengine na kuambiwa hakuna shida yoyote ndipo alianza kuhisi 'hali ya hatari' kwamba kuna kitu yule wakala amefanya kwenye simu yake.

Alipiga simu Huduma kwa Mteja CRDB akaambiwa kuwa muda si mrefu ametoa fedha (kiasi kimehifadhiwa) kutoka katika akaunti yake kwenda kwenye namba ya VODACOM +255 743 938 273 iliyosajiliwa kwa jina la NYAMIZI MASANJA. Pamoja na wife kuwataarifu watu wa Bank situation iliyotokea still walisisitiza kuwa fedha hizo amezihamisha yeye. Kitu pekee ambacho wameshindwa kukitolea maelezo hadi sasa ni error ya 'Try Again Later....' ambayo ni kama vile wameblock asiweze kuaccess SimBanking yake.

Alipiga simu VODACOM na kutaarifiwa kwamba fedha hiyo imeshatolewa kwa wakala na hivyo hawana cha kufanya. Tuliwarudia tena watu wa TIGO na walisisitiza kuwa endapo Transaction hiyo ingefanyika kwa TIGOPESA basi wangewajibika kuifuatilia lakini kwakuwa ni Bank tufuatilie kwenye taasisi husika!

Pia namba hiyo ya wife imeunganishwa na
NMB Mobile Banking, tulipoangalia salio huko napo tulikuta pesa yote imechukuliwa pia. Na kila akiingiza menu ya NMB Mobile Banking *150*66# nayo inaleta same error ya 'Try Again Later....' Kiufupi ni kwamba Wakala huyo aliweza kubreak Bank Accounts zote ambazo zimekuwa linked na hiyo namba ya TIGO na kuziblock zisiweze kutumika kupitia namba hiyo (hadi sasa)!

To cut the long story short, ni kwamba tangu siku hiyo ya Jumamosi, wife hawezi tena kuingia kwenye SimBanking & NMB Mobile Banking, hapati meseji za TIGOPESA, vifurushi na meseji za aina zote zinazohusiana na huduma za TIGO. Pia Internet haifanyi kazi, App pekee ambayo inakubali mtandao ni WhatsApp tu, but the rest (Google, Facebook, etc) hazifanyi kazi kabisa!

Personally, huwa ni mtundu kiaina kwenye mambo ya IT but this level of crime has amazed me so much. Inakuwaje mtu anaweza kuingia kwenye Bank Accounts na kujitumia pesa bila namba ya siri? How come baada ya kufanya hivyo anakuwa na uwezo wa kublock systems zote zinazohusiana na namba husika in just a matter of few minutes? Nimekuwa nikiamini kuwa Security ya Banking Systems huwa ni Strong sana lakini hii situation imebadilisha mawazo yangu completely!!

Wakuu, ninaomba tujadili inawezekanaje mtu akaweza kubreach systems za Bank kirahisi na ndani ya muda mfupi kiasi hicho. Is it possible mhusika akawa ni mtu mmoja? Au ni hacking device/software ipi ina uwezo wa kuscan log files/strokes za password zilizokuwa typed kwenye simu na kuweza kulock kila kitu kinachohusiana na device husika?

Ninatanguliza shukrani na samahani kwa andiko refu!
View attachment 1459093View attachment 1459092View attachment 1459091View attachment 1459094View attachment 1459097

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wateja wote walikua Ni feki mlengwa hapo mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu am sorry to say"mkeo ana mzaha na vitu serious".labda anajua mengi zaidi ya aliyokueleza.

au huhusiki kwa namna yoyote na upatikanaji wa hiyo pesa!!!!,maana tusimpangie sana namna ya kufeel.
 
Afu mtu yoyote anaetapeliwa cha kwanza ni lazima awe mtu wa tamaa, Kwenye swala la kuweka mtu sehemu sensitive za hela ivo mchunguze kwanza kama ni mtu wa tamaa tu ataibiwa afu tumeshatoa angalizo pia smartphone sio secure kabisa katika swala la mawasiliano ziko vulnerable sana na mtu anaetumia smartphone anakuwa targeted kirahisi kuliko anaetumia basic phone, Mimi smartphone kwangu ina chip kwa ajili ya net tu na wala hio chip sipigi simu wala sms ni Kuweka mb tu nakuperuzi tu ila the rest comms nazifanya kwa Vitochi na najihisi niko save and secured, Japo Hivi Vitochi navyo mamlaka ya nchi yanaweza kuwa na calls na Sms logs ila kama sio threat basi haina shida, smartphone zote nazo kwenye izo apps kama whatspp na telegram ni very secured na ziko na end to end encryption
 
Hiyo kali. Ndo maana mm simuamini mtu yyte.
Mkuu huu msiba ni wa jirani ndiyo maana unasema hivyo.

Hauwezi kupisha chambo cha tapeli, maana haukosi udhaifu wa kibinadamu na ndiyo fursa yao.

Wewe kama upo strong, basi washua hupitia hata kwa mama watoto ili akushawishi ulegee!

Tapeli hana sura wala rangi, yaani ni shetani anayekunasa kwa udhaifu wako wa sekunde1, ana uwezo wa kukulia mingo ya mwaka mzima kusubiria udhaifu wako wa sekunde!

Mimi ni mgumu na ni mjanja, lakini nikikusimulia kisa cha namna nilivyotapeliwa utastaajabu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu wamenipiga hta mm 223000 kwenye simu yangu alikuja km hvyo kwako nkamkabidhi cm akacheza nayo akaniambia huna salio la kawaida nataka mia tu ndio kosa hpo,sijui akafanyaje akahamisha hzo hela

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu msiba ni wa jirani ndiyo maana unasema hivyo.

Hauwezi kupisha chambo cha tapeli, maana haukosi udhaifu wa kibinadamu na ndiyo fursa yao.

Wewe kama upo strong, basi washua hupitia hata kwa mama watoto ili akushawishi ulegee!

Tapeli hana sura wala rangi, yaani ni shetani anayekunasa kwa udhaifu wako wa sekunde1, ana uwezo wa kukulia mingo ya mwaka mzima kusubiria udhaifu wako wa sekunde!

Mimi ni mgumu na ni mjanja, lakini nikikusimulia kisa cha namna nilivyotapeliwa utastaajabu!


Sent using Jamii Forums mobile app


Yoote uliyosema uko sahihi. Tapeli ni mtu mjanja sana na ana mbinu nyingi. Binafsi mm ni mgumu na hua simuamini mtu yyte, ila siku tumetoka na wife alijikuta mikononi mwa matapeli.

Moro msamvu pale kuna wahuni walkua wanajfanya wana kampuni na wanagawa vitenge bure pamoja na CD ili mkautangaze kampuni. Nkawatilia shaka ila wule kakomaa et twende.

Wahuni wale kufika tu et wanakupa coopon. 😂😂😁😁. Et unashika ile coopon yenye namba, na CD mkononi na kitenge. Yaani unachezeshwa kamari bila taarifa.


Nkamwambia wife ebu tuondoke acha ujinga, kumbe ashatoa buku ten tayar ili ashinde tv. qmmk. Nilitaman nimzabe makofi pale.

Ila niliwakomalia kibabe ile hela waliitoa. Mjini wahuni wengi sana.

Kuna mhuni mwingne niko zangu namsikiliza mbowe akihutubia, ananiijia et nimpe simu yangu aingie youtube chanel ake. Kumkazia akataka nimpe simu ndogo, nkamkata jicho, ikabid asepe tu. Wahuni ukiwapa muda kiduchu umeisha.



Nipe story mkuu, ilikuaje kwa upande wako?
 
Wakuu ninaomba msaada wenu katika hili...

Ilikuwa siku ya Jumamosi ya tarehe 23/05/2020 nilipokea taarifa kutoka kwa wife akinitaarifu kuwa ametapeliwa na wakala wa mitandao ya simu aliyekuwa amevalia mavazi na kitambulisho cha kampuni ya TIGO.

Wakala huyo alifika dukani kwake na kumwambia kuwa anaunganisha vifurushi vya chuo, hapo dukani palikuwa na wateja wawili ambao nao waliomba kupatiwa hiyo huduma kutoka kwa wakala huyo na walionesha kuridhika na huduma yake.

Wife alivyoona wateja hao wamepatiwa huduma na wameprove inafanya kazi vizuri naye aliomba aunganishwe. Alimpatia simu wakala huyo na, kutokana na maelezo yake, alikuwa anashuhudia kila kitu alichokuwa anafanya. Anasema kwamba wakala huyo alitumia muda mwingi katika eneo la 'Access Point Names' (APN).

Baada ya dakika kadhaa alimaliza shughuli yake na kumrudishia wife simu yake na alimtaka ajaribu kama mtandao unafanya kazi ambapo mwanzoni uligoma, akamrudishia simu akaenda tena kwenye APN akarekebisha akamwambia ajaribu ndipo mtandao ukarudi. Alimuaga na kumuhakikishia kwamba kila kitu kipo vizuri na atarudi baadae ili kupata mrejesho. Katika mchakato wote huo, wakala hakuomba wala kuonesha dalili yoyote ya kutaka kufahamu namba ya siri ya TigoPesa wala Bank katika mazungumzo yake.

Baada ya wakala huyo kuondoka wife alipata hitaji la kuhamisha fedha kutoka CRDB SimBanking kwenda kwa mtu aliyemuagiza mzigo. Tatizo lilianza kila anapoingiza menu ya SimBanking (*150*03#) anapata error inayoleta ujumbe 'Try Again Later....'

Baada ya kujaribu muda mrefu bila mafanikio alinipigia na kuniuliza endapo SimBanking yangu inafanya kazi, nilimwambia ipo poa. Pia baada ya kuconfirm na watu wengine na kuambiwa hakuna shida yoyote ndipo alianza kuhisi 'hali ya hatari' kwamba kuna kitu yule wakala amefanya kwenye simu yake.

Alipiga simu Huduma kwa Mteja CRDB akaambiwa kuwa muda si mrefu ametoa fedha (kiasi kimehifadhiwa) kutoka katika akaunti yake kwenda kwenye namba ya VODACOM +255 743 938 273 iliyosajiliwa kwa jina la NYAMIZI MASANJA. Pamoja na wife kuwataarifu watu wa Bank situation iliyotokea still walisisitiza kuwa fedha hizo amezihamisha yeye. Kitu pekee ambacho wameshindwa kukitolea maelezo hadi sasa ni error ya 'Try Again Later....' ambayo ni kama vile wameblock asiweze kuaccess SimBanking yake.

Alipiga simu VODACOM na kutaarifiwa kwamba fedha hiyo imeshatolewa kwa wakala na hivyo hawana cha kufanya. Tuliwarudia tena watu wa TIGO na walisisitiza kuwa endapo Transaction hiyo ingefanyika kwa TIGOPESA basi wangewajibika kuifuatilia lakini kwakuwa ni Bank tufuatilie kwenye taasisi husika!

Pia namba hiyo ya wife imeunganishwa na
NMB Mobile Banking, tulipoangalia salio huko napo tulikuta pesa yote imechukuliwa pia. Na kila akiingiza menu ya NMB Mobile Banking *150*66# nayo inaleta same error ya 'Try Again Later....' Kiufupi ni kwamba Wakala huyo aliweza kubreak Bank Accounts zote ambazo zimekuwa linked na hiyo namba ya TIGO na kuziblock zisiweze kutumika kupitia namba hiyo (hadi sasa)!

To cut the long story short, ni kwamba tangu siku hiyo ya Jumamosi, wife hawezi tena kuingia kwenye SimBanking & NMB Mobile Banking, hapati meseji za TIGOPESA, vifurushi na meseji za aina zote zinazohusiana na huduma za TIGO. Pia Internet haifanyi kazi, App pekee ambayo inakubali mtandao ni WhatsApp tu, but the rest (Google, Facebook, etc) hazifanyi kazi kabisa!

Personally, huwa ni mtundu kiaina kwenye mambo ya IT but this level of crime has amazed me so much. Inakuwaje mtu anaweza kuingia kwenye Bank Accounts na kujitumia pesa bila namba ya siri? How come baada ya kufanya hivyo anakuwa na uwezo wa kublock systems zote zinazohusiana na namba husika in just a matter of few minutes? Nimekuwa nikiamini kuwa Security ya Banking Systems huwa ni Strong sana lakini hii situation imebadilisha mawazo yangu completely!!

Wakuu, ninaomba tujadili inawezekanaje mtu akaweza kubreach systems za Bank kirahisi na ndani ya muda mfupi kiasi hicho. Is it possible mhusika akawa ni mtu mmoja? Au ni hacking device/software ipi ina uwezo wa kuscan log files/strokes za password zilizokuwa typed kwenye simu na kuweza kulock kila kitu kinachohusiana na device husika?

Ninatanguliza shukrani na samahani kwa andiko refu!
View attachment 1459093View attachment 1459092View attachment 1459091View attachment 1459094View attachment 1459097

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana mkuu, wizi level za CIA na FBI. hapa tanzani police mmmh sio wajanja hivyo ila nenda tu kuweka mambo sawa. ila kipindi cha mwanzoni simu zilipoanza kuwa smart nk. huo mchezo unawezekana kwa ku bypass hizo APN nk. ukiangalia hapo kuna utofauti kati ya mtandao mmoja na mwingine. jaribu kufuatilia.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kimesahaulika hapa. Kwamba yule aliyeathirika na wizi huu alikuwa anahitaji kujiunga na vifurishi vya chuo. Iwapo ni mwanachuo, basi yaliyotokea yanasikitisha. Lakini kama ni katika kutaka unafuu wa bei naona hapo kakosea. Tamaa ya kupata nafuu imemponza akakosa yote. Daima ogopa vitu rahisi rahisi, vingine vitakuliza.
 
Back
Top Bottom