Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Sijui hii hali kama kuna wengine Ishawahi wakuta, Umri wangu Niko kwenye late 20's miaka ya nyuma nilikua tongoza tongoza, aisee lakini sasa sijui nimekuaje, kama mwaka uliopita nimetongoza mdada mmoja tu, the whole year.
Mimi sio domo zege, sina stress kubwa/msongo wa mawazo, sina aibu ya kuongea na mwanamke, ila nikiona mwanamke ninaemtaka, nkifikiria kwenda kumtongoza, akilini huwa naona kama ntampa kichwa, yani naona kumtongoza ni kwenda kujichoresha, Na kujishusha thamani, na kujivua nguo mbele ya binadamu mwenzangu tena hadharani..nawaza kama kutongoza sio kujidhalilisha, mbona wanawake hawatufati kututongoza sisi wanaume, that means wanawake wanajua kutongoza ni kujishusha, ivo nakausha..
kuna mtu mwingine ashawahi experience hii, maana logically naona kwangu hii ni shida aisee..najiona kama naenda against nature
NB: Mashine inafanya kazi vizuri, mm ni mwanaume straight, maana baadhi watu humu hawakawii kuniita upinde..
Mimi sio domo zege, sina stress kubwa/msongo wa mawazo, sina aibu ya kuongea na mwanamke, ila nikiona mwanamke ninaemtaka, nkifikiria kwenda kumtongoza, akilini huwa naona kama ntampa kichwa, yani naona kumtongoza ni kwenda kujichoresha, Na kujishusha thamani, na kujivua nguo mbele ya binadamu mwenzangu tena hadharani..nawaza kama kutongoza sio kujidhalilisha, mbona wanawake hawatufati kututongoza sisi wanaume, that means wanawake wanajua kutongoza ni kujishusha, ivo nakausha..
kuna mtu mwingine ashawahi experience hii, maana logically naona kwangu hii ni shida aisee..najiona kama naenda against nature
NB: Mashine inafanya kazi vizuri, mm ni mwanaume straight, maana baadhi watu humu hawakawii kuniita upinde..