Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,694
- 11,016
Hii kitu huwa ninayo mimi tu au na kwa wengine.
Yaani nikitoa msaada wa ali na mali kwa mwanaume mwenzangu nafsi huwa yangu huwa inaridhika na kufurahi sana tofauti na kama nikimpa msaada mwanamke au mtoto wa kike.
Yaani huwa najihisi kutapeliwa na moyo wangu hauridhiki wala kufurahi hata kidogo na hii nahisi imesababishwa na mazingira niliyopitia yaani unamsaidia mwanamke ukigeuka tu huku nyuma anakung'ong'a na kukucheka wengine hufikia kukuona fara au mshamba kwakweli hii hali imeniathiri kisaikorojia yaani kumpa mwanamke msaada nafsi yangu inakuwa nzito sana.
Juzi kuna dada ameniomba elfu thelathini ya matibabu nimemnyima na badala ya kujutia kitendo changu naona nafsi yangu inafarijika na kufurahi 🤔🤔.
Yaani nikitoa msaada wa ali na mali kwa mwanaume mwenzangu nafsi huwa yangu huwa inaridhika na kufurahi sana tofauti na kama nikimpa msaada mwanamke au mtoto wa kike.
Yaani huwa najihisi kutapeliwa na moyo wangu hauridhiki wala kufurahi hata kidogo na hii nahisi imesababishwa na mazingira niliyopitia yaani unamsaidia mwanamke ukigeuka tu huku nyuma anakung'ong'a na kukucheka wengine hufikia kukuona fara au mshamba kwakweli hii hali imeniathiri kisaikorojia yaani kumpa mwanamke msaada nafsi yangu inakuwa nzito sana.
Juzi kuna dada ameniomba elfu thelathini ya matibabu nimemnyima na badala ya kujutia kitendo changu naona nafsi yangu inafarijika na kufurahi 🤔🤔.