Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,882
- 157,107
TAJIRI MKUU WA MATAJIRINimetembelea mkoa wa Mtwara, nikiwa na gari aina ya Toyota Alphard. Changamoto inayonileta mbele yenu ni kwamba AC inapiga sana kelele kiasi kwamba huwezi kuvumilia.
Naomba msaada nijulishwe tatizo, ili nikienda kwa fundi asinibabaishe na kuni over charge.
Hivi hili nalo la kuleta hapa kweli?
Aah badili id mkuu