Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,025
- 16,135
DuuuAliyekwambia una tatizo kakudanganya, mbona wanaume wote kusimamisha ni kazi.
DuuuAliyekwambia una tatizo kakudanganya, mbona wanaume wote kusimamisha ni kazi.
Sitoi dawa kwa sababu ya njaa.Mkuu Wacha hizo plz millioni moja yote hiyo ya nini wakati tiba zipo za uhakika kabisa kwa gharama kidogo tu.. Wacha tamaa...
Acha wazee wa fursa tumsaidie mdogo wetu ili naye aanze kuufadi utelezi.Wazee wa kutumia fursa
Hiyo Hela ni nje ya kumlipa huyo dada?Japo tangazo nitaleta rasmi kuanzia mwezi wa nane, ila ngoja nikupe kwa kuanzia.
Andaa Tsh 1,000,000/= kama gharama ya dawa, then tafuta mwanamke, ukishapata hivyo viwili nipigie kwa Namba nitakayokupatia hapa chini.
Utakuja nilipo, nitakupa dawa (mwanamke utakayekuwa naye ni kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo), yaani dawa hiyo unakunywa Kisha kinafuata kitendo (ingawa si dawa zote ni za kunywa).
Tambua hivi, utaondoka baada ya kujiridhisha kuwa kazi inafanyika kisawasawa na inasonga mbele.
Dawa hiyo hata yule hajawahi simamisha kabisa inamfaa.
N.b. Kama hutakuwa na mwanamke aliye tayari kusafiri na wewe, utakuja na nitatafuta mwanamke hukuhuku (utakuja na pesa ya kumlipa huyo mwanamke atakayekuwa na wewe kukuhudumia kitandani).
Pia, kama shughuli zako zitakubana usiweze kusafiri kuja nilipo, utalipia usafiri wa Mimi kukufuata ulipo. Nitakuja, nitakupa dawa muhimu lazima uwe na mwanamke kwa ajili ya practical (maana ili ujue kama dawa inafanya kazi, ni lazima baada ya kunywa ufanye kitendo sasa si kunywa dawa tu).
Kama kweli uko serious na tatizo, nipigie katika Namba.
0650 140 211
Mbona unatusemea wote usha tujaribu?Aliyekwambia una tatizo kakudanganya, mbona wanaume wote kusimamisha ni kazi.
1,000,000/= ni hela ya dawa pekee.Hiyo Hela ni nje ya kumlipa huyo dada?
Nauli Iko humo huko?
Ni kweli ila Kwa dawa za kienyeji milioni Moja ni kupumzikiana japo kama kweli una TIBA mshikaji akuone ila usiwe tapeli broSitoi dawa kwa sababu ya njaa.
Kama Kuna wenye dawa za uhakika kwa bei nafuu, mwelekeze tu mkuu.
Dawa nitakazompa zinanighatimu mno kuzitengeneza. Fikiria tu hivi, dawa hiyo Ina jumla ya dozi 9 tofauti.
Mamaaaa!1,000,000/= ni hela ya dawa pekee.
Nauli ni juu ya mhusika yaani nje ya hiyo ya dawa.
Dada wa kunjunjana naye ni gharama nje ya hiyo 1,000,000/=. Malipo ya dada itategemea makubaliano Kati ya dada na mhusika.
Pesa sipokei kwa simu, napokea mkononi baada ya mhusika kufika au Mimi kufika kama nitamfuata. Sasa hapo sijui kama utapeli utafanyikaje.Ni kweli ila Kwa dawa za kienyeji milioni Moja ni kupumzikiana japo kama kweli una TIBA mshikaji akuone ila usiwe tapeli bro
Kwa Nini usiseme pesa italipwa baada ya muhusika kuponda je akikulipa na ASIPO ponaPesa sipokei kwa simu, napokea mkononi baada ya mhusika kufika au Mimi kufika kama nitamfuata. Sasa hapo sijui kama utapeli utafanyikaje.
Tena wewe ndo usiongeeMbona unatusemea wote usha tujaribu?
Ni dawa za asili. Si dawa aina moja pekee.Mamaaaa!
Ni aina gani ya dawa hiyo jamani?
Nenda hospital kapime ujue tatizo linaanzia wapi level za hormones, pressure, pima vidonda vya tumbo, sukari(diabetes) angalia kama una tatizo la mngongo kuchemka na miguu kuwaka moto kwanza (tatizo la neurons). Miguu kuwaka moto na mgongo kuchemka unatumia vidonge vya neurobion na pregabalin. Haya ni baadhi ya mambo yanayosababisha ukosefu wa nguvu za kiume. Ukishaona hayo matatizo haya huna una unalo mojawapo tafuta tiba yake iwe ya hospital. Ukishaona umepona yote haya nitafute inbox nikuelekeze dawa mwezi mmoja utapata matokeo ya hatari acha kwenda kwa waganga watakufilisi pesa zakoTafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Nisha kwambia njoo ghetto hutaki, hujapata wa kukukunja vizuri we ilete niichakateTena wewe ndo usiongee
Kwa sababu Nina uhakika atapona.Kwa Nini usiseme pesa italipwa baada ya muhusika kuponda je akikulipa na ASIPO pona
Nitolee shobo zakoNisha kwambia njoo ghetto hutaki, hujapata wa kukukunja vizuri we ilete niichakate
Kazi njema lakini TIBA hauko hivo huwezi aminisha mtu kupona na huja mtibuKwa sababu Nina uhakika atapona.
Kama umesoma vizuri, Kuna sehemu nimesema, nitamruhusu kuondoka kama amenifuata baada ya kujiridhisha asilimia mia kuwa amepona. Kwanza Nina uhakika kwa maelezo yake aliyotoa, dozi Namba moja tu huyo anaanza kula mzigo kama ndo amebalehe Leo.