Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Msaada sina kabisa nguvu za kiume

Mkuu Wacha hizo plz millioni moja yote hiyo ya nini wakati tiba zipo za uhakika kabisa kwa gharama kidogo tu.. Wacha tamaa...
Sitoi dawa kwa sababu ya njaa.

Kama Kuna wenye dawa za uhakika kwa bei nafuu, mwelekeze tu mkuu.

Dawa nitakazompa zinanighatimu mno kuzitengeneza. Fikiria tu hivi, dawa hiyo Ina jumla ya dozi 9 tofauti.
 
Je, una ugonjwa wa kisukari au shinikizo la damu?

Je, unakabiliwa na msongo wa mawazo, wasiwasi au unyogovu?

Je, unavuta sigara au unatumia pombe kupita kiasi?

Je, una uzito kupita kiasi au hufanyi mazoezi ya mwili mara kwa mara?

Je, unatumia dawa zozote ambazo zinaweza kuathiri nguvu za kiume?

Je, umewahi kupimwa homoni za kiume na kubainika kuwa una upungufu wa testosterone?
 
Japo tangazo nitaleta rasmi kuanzia mwezi wa nane, ila ngoja nikupe kwa kuanzia.

Andaa Tsh 1,000,000/= kama gharama ya dawa, then tafuta mwanamke, ukishapata hivyo viwili nipigie kwa Namba nitakayokupatia hapa chini.

Utakuja nilipo, nitakupa dawa (mwanamke utakayekuwa naye ni kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo), yaani dawa hiyo unakunywa Kisha kinafuata kitendo (ingawa si dawa zote ni za kunywa).

Tambua hivi, utaondoka baada ya kujiridhisha kuwa kazi inafanyika kisawasawa na inasonga mbele.

Dawa hiyo hata yule hajawahi simamisha kabisa inamfaa.

N.b. Kama hutakuwa na mwanamke aliye tayari kusafiri na wewe, utakuja na nitatafuta mwanamke hukuhuku (utakuja na pesa ya kumlipa huyo mwanamke atakayekuwa na wewe kukuhudumia kitandani).

Pia, kama shughuli zako zitakubana usiweze kusafiri kuja nilipo, utalipia usafiri wa Mimi kukufuata ulipo. Nitakuja, nitakupa dawa muhimu lazima uwe na mwanamke kwa ajili ya practical (maana ili ujue kama dawa inafanya kazi, ni lazima baada ya kunywa ufanye kitendo sasa si kunywa dawa tu).

Kama kweli uko serious na tatizo, nipigie katika Namba.

0650 140 211
Hiyo Hela ni nje ya kumlipa huyo dada?
Nauli Iko humo huko?
 
Sitoi dawa kwa sababu ya njaa.

Kama Kuna wenye dawa za uhakika kwa bei nafuu, mwelekeze tu mkuu.

Dawa nitakazompa zinanighatimu mno kuzitengeneza. Fikiria tu hivi, dawa hiyo Ina jumla ya dozi 9 tofauti.
Ni kweli ila Kwa dawa za kienyeji milioni Moja ni kupumzikiana japo kama kweli una TIBA mshikaji akuone ila usiwe tapeli bro
 
Mamaaaa!
Ni aina gani ya dawa hiyo jamani?
Ni dawa za asili. Si dawa aina moja pekee.

Kwa jumla Kuna dozi Tisa (9). Kuna za kunywa, kuoga,

Lakini akiwa alishawahi kusimamisha na kula mzigo, anaweza ishia dozi mbili tu mashine inarudia nguvu za ujanani hata kama kwa sasa imedhoofika kutokana na mambo kadhaa wa kadha kama uzee.

Kama hajawahi kusimamisha kabisa tokea kuzaliwa, anaweza pia akaishia dozi mbili pekee au akamaliza dozi zote.

Ila kwa uzoefu, wengine huishia dozi Namba mbili. Wakiona wameshaanza kula mzigo fresh wanatimua zao kwenda kuendelea na shughuli za utafutaji.
 
Tafadhalini sana naombeni msaada wa tiba juu ya nguvu za kiume, umri wangu ni miaka 24 , nimetumia dawa za kisuni na kwa waging ila bado naona tatizo linazidi, kusimamisha tu ni kazi hata asubuhi nikiamka haisimami naombeni sana msaada wenu
Nenda hospital kapime ujue tatizo linaanzia wapi level za hormones, pressure, pima vidonda vya tumbo, sukari(diabetes) angalia kama una tatizo la mngongo kuchemka na miguu kuwaka moto kwanza (tatizo la neurons). Miguu kuwaka moto na mgongo kuchemka unatumia vidonge vya neurobion na pregabalin. Haya ni baadhi ya mambo yanayosababisha ukosefu wa nguvu za kiume. Ukishaona hayo matatizo haya huna una unalo mojawapo tafuta tiba yake iwe ya hospital. Ukishaona umepona yote haya nitafute inbox nikuelekeze dawa mwezi mmoja utapata matokeo ya hatari acha kwenda kwa waganga watakufilisi pesa zako
 
Kwa Nini usiseme pesa italipwa baada ya muhusika kuponda je akikulipa na ASIPO pona
Kwa sababu Nina uhakika atapona.

Kama umesoma vizuri, Kuna sehemu nimesema, nitamruhusu kuondoka kama amenifuata baada ya kujiridhisha asilimia mia kuwa amepona. Kwanza Nina uhakika kwa maelezo yake aliyotoa, dozi Namba moja tu huyo anaanza kula mzigo kama ndo amebalehe Leo.
 
Kwa sababu Nina uhakika atapona.

Kama umesoma vizuri, Kuna sehemu nimesema, nitamruhusu kuondoka kama amenifuata baada ya kujiridhisha asilimia mia kuwa amepona. Kwanza Nina uhakika kwa maelezo yake aliyotoa, dozi Namba moja tu huyo anaanza kula mzigo kama ndo amebalehe Leo.
Kazi njema lakini TIBA hauko hivo huwezi aminisha mtu kupona na huja mtibu
 
Back
Top Bottom