Msaada: Nimuingie vipi huyu dada?

Msaada: Nimuingie vipi huyu dada?

Ishub
Shida siyo mashairi.. Yapo yamejaa.. Tatizo atanichukulia vipi na namba alishanikatalia
Ishu ya namba achana nayo kwa maana unaweza pewa namba then, ukambwela pia, jarib kumuonesha unamhitaji kweli na sio kwa kutumia namba, kabla ya yote angalia confidence yako iko wapi alafu anza kutatua tatizo.
 
Tafuta shughuli anayofanya.....ukionana nae jifanye una shida ya kikazi tu
so akupe mawasiliano yake kikazi tu
akishakupa mchunie kama wiki mbili hivi
lakini ukionana nae msalimie tu...

halafu anzia hapo kwenye shida ya kikazi taratiibu...teremka...
Ehh kweli ng'ombe hazeeki maini,kwa tekniki hizi nisingechomoa
 
Fanya juu chini uonane nae. Ikiwezekana anzisha mazoea nae,kisha siku moja mtoe out (lunch or dinner) then fungua nae ukurasa.

Inshort ukishajenga nae mazoea ni rahisi kupata namba.
 
Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!

Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!

Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!

Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
usijilige uombe namba kwa mtu mwingine alafu umtafute!!! hata kama unayo, we msumbue akupe yeye mwenyewe otherwise utaishia kuaibika mjini hapa!!
 
usijilige uombe namba kwa mtu mwingine alafu umtafute!!! hata kama unayo, we msumbue akupe yeye mwenyewe otherwise utaishia kuaibika mjini hapa!!
Ni kweli mkuu, hapo naweza kuharibu moja kwa moja!! Ngoja niiandike kwenye notebook kwa matumizi ya baadaye!!
 
me nina dawa inaitwa tongozamore ni pm, hii dawa ni balaaa ukimeza unakuwa na mzuka zaidi ya mlokole aliyeshukiwa roho mtakatifu ni mwendo wa kuflow mpaka mtoto aingie kwenye kumi na nane
 
Ni kweli mkuu, hapo naweza kuharibu moja kwa moja!! Ngoja niiandike kwenye notebook kwa matumizi ya baadaye!!
haya bana....but my point is, fight akupe namba yeye mwenyewe na sio kwamba uachane nae moja kwa moja!!
 
Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!

Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!

Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!

Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
Hyo midem ambayo hata namba inagoma kutoa huwaga na swaggz za kizaman sana...dawa ni kuipotezea tuu...achana she's not lovable
 
Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!

Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!

Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!

Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
If you want something go get it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom