Ishu ya namba achana nayo kwa maana unaweza pewa namba then, ukambwela pia, jarib kumuonesha unamhitaji kweli na sio kwa kutumia namba, kabla ya yote angalia confidence yako iko wapi alafu anza kutatua tatizo.Shida siyo mashairi.. Yapo yamejaa.. Tatizo atanichukulia vipi na namba alishanikatalia
Ehh kweli ng'ombe hazeeki maini,kwa tekniki hizi nisingechomoaTafuta shughuli anayofanya.....ukionana nae jifanye una shida ya kikazi tu
so akupe mawasiliano yake kikazi tu
akishakupa mchunie kama wiki mbili hivi
lakini ukionana nae msalimie tu...
halafu anzia hapo kwenye shida ya kikazi taratiibu...teremka...
Atakuona mtafutaji mzuri wa nambaShida siyo mashairi.. Yapo yamejaa.. Tatizo atanichukulia vipi na namba alishanikatalia
Approach ya zama za maweKama unania ya kuoa na km bado hajaolewa nenda om kwao peleka posa kabisa nenda na baadh ya watu wazma ataona kwel upo serious
Hivyo hivyo atavyokuchulia wewe mtoto wakiume vepeee, muendee hewani mida ya majeruhi hiiShida siyo mashairi.. Yapo yamejaa.. Tatizo atanichukulia vipi na namba alishanikatalia
usijilige uombe namba kwa mtu mwingine alafu umtafute!!! hata kama unayo, we msumbue akupe yeye mwenyewe otherwise utaishia kuaibika mjini hapa!!Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!
Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!
Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!
Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
Hahahhahah afu utawakuta thread ingine wanajazana ufamba tu oh sijui mwanamke ukifatwa kubali tuu mara hivi mara vileushapata mjanja wako dadeki
Ni kweli mkuu, hapo naweza kuharibu moja kwa moja!! Ngoja niiandike kwenye notebook kwa matumizi ya baadaye!!usijilige uombe namba kwa mtu mwingine alafu umtafute!!! hata kama unayo, we msumbue akupe yeye mwenyewe otherwise utaishia kuaibika mjini hapa!!
Hawatakagi maharage ya Mbeya .. Naona kakutana na makande sasa avumilieHahahhahah afu utawakuta thread ingine wanajazana ufamba tu oh sijui mwanamke ukifatwa kubali tuu mara hivi mara vile
HahahhaHawatakagi maharage ya Mbeya .. Naona kakutana na makande sasa avumilie
haya bana....but my point is, fight akupe namba yeye mwenyewe na sio kwamba uachane nae moja kwa moja!!Ni kweli mkuu, hapo naweza kuharibu moja kwa moja!! Ngoja niiandike kwenye notebook kwa matumizi ya baadaye!!
Hyo midem ambayo hata namba inagoma kutoa huwaga na swaggz za kizaman sana...dawa ni kuipotezea tuu...achana she's not lovableWakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!
Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!
Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!
Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
Aseee hyo ni ya kizamani sanaaaaaHyo midem ambayo hata namba inagoma kutoa huwaga na swaggz za kizaman sana...dawa ni kuipotezea tuu...achana she's not lovable
If you want something go get it.Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!
Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!
Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!
Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!