Msaada: Nimuingie vipi huyu dada?

Msaada: Nimuingie vipi huyu dada?

Kama kweli una lengo la kumuoa, mtafute mama mtu mzima mwenye umri kumzidi yeye, ili aende kumfikishia ujumbe wako wa ndoa "live" bila chenga.
Nakutakia herói.
 
wasio penda kutoa namba wanatoa papuchi kwa uraisi ww nenda kaombe papuchi achana na namba
 
Jitahid utapokutana nae unamfanya japo atabasamu kwa vijimaneno utakavyokuwa unamwambia, namba mbna ishu ndogo sana
 
Mtafute facebook halafu m-like na umfollow Twitter,instagram,badoo,snapchat.

Tumechoka post zenu nyie watoto mnaosubiria kujiunga form five
 
Jitahid utapokutana nae unamfanya japo atabasamu kwa vijimaneno utakavyokuwa unamwambia, namba mbna ishu ndogo sana
Tatizo kazi anayofanya, kuonana naye ni issue aisee!!
 
Kama kweli una lengo la kumuoa, mtafute mama mtu mzima mwenye umri kumzidi yeye, ili aende kumfikishia ujumbe wako wa ndoa "live" bila chenga.
Nakutakia herói.
Shukrani mkuu
 
Wakuu katika kuzunguka huku na kule nilivutiwa na huyu mdada, sikuwa na papara baada ya utafiti wangu mdogo nimegundua ni mtu mwenye busara na pia anajiheshimu!

Sasa nimejitahidi mara kadhaa kuonana naye nikachemsha, na hata baada ya kuonana naye nimemuomba namba akakataa nikaona isiwe kesi, maana kupata namba yake sishindwi!!

Sasa nimepata namba yake mahali, na bado sijamtafuta maana nahofia kuharibu, uzoefu unaniambia hivi, kuchukua namba ya mtu bila ridhaa yake na isitoshe mwenyewe aligoma kutoa, mission huwa zinabuma.. Yan kushindwa kueleweka ni kukubwa kuliko kueleweka!!

Sasa wadau nipeni mbinu, maana nia ipo kama ataelewa lengo ni kumuweka ndani awe mke!!
Hii ndo ule ufala sipendi, yaani kama ndo number yangu, wacha story ikatike.
 
me nina dawa inaitwa tongozamore ni pm, hii dawa ni balaaa ukimeza unakuwa na mzuka zaidi ya mlokole aliyeshukiwa roho mtakatifu ni mwendo wa kuflow mpaka mtoto aingie kwenye kumi na nane
Hahahah,,,,, hiyo itakua kiboko nigawie na mimi maana kuna mtoto humu namzimikia ila domo zege ni shidah!!!🙄😵
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom