Kwangu mimi hicho kitu hapanaDogo mchomekee konga hafu unaunyuti
Maana huyo shem ako anataka ladha tofauti hivyo uspofanya hivyo ataenda gongwa namajitu mengine kitaa.
Me mashemej hata wake za wajombaang wakijipinduaga huwa nawabinuka vzuri sana hafu nauchuna
You are the best... Muelezee bro ila kwa njia nyingine, ucmwambie direct nn kinaendelea... Jaribu kuzunguka zungukaWakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.
Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.
Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.
Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.
Hapana mkuu bro hapaswi kujua hii mambo, amkanye tu shem yaishe.You are the best... Muelezee bro ila kwa njia nyingine, ucmwambie direct nn kinaendelea... Jaribu kuzunguka zunguka
Kwa kosa lipi amkanye? Hilo kosa analijua?.... Ukimwambia direct kuwa nn knaendelea apo ndo itakua msala sasa,Hapana mkuu bro hapaswi kujua hii mambo, amkanye tu shem yaishe.
Amsubirie akimfika pabaya amkatalie na amkanye kwa hiyo tabia mbaya.Kwa kosa lipi amkanye? Hilo kosa analijua?.... Ukimwambia direct kuwa nn knaendelea apo ndo itakua msala sasa,
Mweleze tu la sivyo atakushawishi mpaka utazini naye ugovi utakuwa mkubwa zaidiWakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.
Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.
Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.
Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.