Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Kuna chalii 1 pia alikua na same story, alimwambia bro wake badae shemeji yake akamgeuka kuwa yy ndo anamtaka shemj yake, siku 1 akaingia kwa dogo aktokea bafuni na kufunga mlango akaanza kupga kelele as if dogo kamfungia na analazmisha kula mzgo, bro akaja speed, akavunja mlango na kumkta mkewe amemkaba dogo na kumweka kifuani, kilichotokea bro alimpga Mdogo wake nusu kumuua, alipelekwa hospt hana faham, mkewe akiwa analalamika kuwa amemuita na kumvutia chumban kwake na kufunga mlango,

Akawa anamwambia mmewe kuwa nilikwambia Mme wangu huyu Mdogo wako anania mbaya sana na mm! Kumbe alikua anamkomessha dogo kumsemea kwa mmewe!

Note; dogo pga chn kumwambia bro kikubwa malizana na shemeji yako kwa kumwambia ukweli kuwa huwez Fanya hivyo! Ukimwambia bro utakua unaua ndoa au unaua undg wako na bro! Ukiona shemej haelew toka kimya kimya ila usimwngzie dudu shemej yako,

Kama una wimbo wa man fongo (hainaga ushemeji) ufte kabsa kwenye Simu au kwenye flash! Bora usikilze wa mkaanga sumu (unanitega shemej) hafu mwambie aache hayo mapepe yake!
 
Walisema lakini, mkisharudi nyie tu basi mada kama hizi lazima tuzione sana humu, by the way hongera kwa kumaliza kidato cha sita, pumzika ukisubiria post za jkt.
Asante ila acha unoko jf sio ya baba yako
 
Wakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.

Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.

Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.

Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.

Endelea kumkwepa na usimwambie kaka yako. Kwani ukiendelea kumkwepa baadae ataacha mwenyewe. Soma story ya Yusufu kwenye Bible (kama haujawahi kuisoma) itakusaidia kufikiri zaidi namna ya kumkwepa. Hakikisha unapokuwa chumbani kwako mlango umepigwa lock.

Kwa kawaida huyo shemeji yako hawezi kutumia nguvu, bali kukuvutia kwa body language na ku-expose sehemu zake za apple.
 
Pole kwa roho ya kwann lakini sisi nao ni binadamu kama nyinyi tuna haki ya kutumia jf

Mdogo angu roho ya kwanini nikuletee wewe , itanisaidia nini??[emoji23][emoji23], anyways tulitegemea yote haya.
 
Mwambie shemeji yako kuwa utamwambia kaka yako. Hii itamfanta kila anapikuona unongea na kaka yako kufikiria ndiyo unamwambia
 
duh , usimwambie blaza, cha kufanya apo ni kumpa onyo kali uyo shem, maana atakuharbia maisha aisee atakapokuja kukugeuzia kibao maana utachukiwa mpka na wazaz wenu na ndgu wengne kwa mtego atakaokuekea, watakuona mpuuzi
na uongee nae kikauzu , mute za kutosha mpka ahisi kua we ni hanithi askufatilie zaid {iyo chumvi kdgo}

mpe onyo kali kabla amjafikia uko [emoji115][emoji115]
 
Mwambie Shemeji Wewe Umeathirika Akikutangaza kwa Bro Wako Mwambie Ndio Umeathirika Kisaikolojia Kutokana Na Tabia ya Shemeji Kukutaka Kimapenzi
 
Tafuta namna upange chumba chako uanze maisha ya kujitegemea
 
duh , usimwambie blaza, cha kufanya apo ni kumpa onyo kali uyo shem, maana atakuharbia maisha aisee atakapokuja kukugeuzia kibao maana utachukiwa mpka na wazaz wenu na ndgu wengne kwa mtego atakaokuekea, watakuona mpuuzi
na uongee nae kikauzu , mute za kutosha mpka ahisi kua we ni hanithi askufatilie zaid {iyo chumvi kdgo}

mpe onyo kali kabla amjafikia uko [emoji115][emoji115]
Asante sana
 
Back
Top Bottom