Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Wakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.

Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.
Kwa umri wako ilitakiwa uwe shule
 
ukimweleza kk yako nae bro wako akimsema mkewe juu.y tabia yake utajenga uhasama na shem wako so kaaa nae mbali shm alafu mchane laivu huo ni puuzi atalalaje na ndg au ametumwa alete laanaa ktk familia yenu ???? usifuate misemo ya kijinga kama" hainaga ushemeji tunakulaga"
 
Miak 19 safi sana umeyashinda ata mabampara yaliyo komaa yangekuja kuomba ushaur nimetembea na shemej angu nifanye nini..?
 
Ukimweleza kaka yako uwe na ushaidii laa sivyo itakula upande wako.Kama vepe kausha na shem mkaushie mazima salam tu story Hakuna.
 
mpe anachotaka,,,free p tena hulipii khaaaaaaaaa,,,,,,,,,,,,,,mkune vizui babu
 
Walisema lakini, mkisharudi nyie tu basi mada kama hizi lazima tuzione sana humu, by the way hongera kwa kumaliza kidato cha sita, pumzika ukisubiria post za jkt.
 
Mkuu usijaribu kumwambia kaka yako ukimwambia madhara yake ni makubwa kuliko unavofikiri,nina experience na hii kitu, nikipata mda nitasimulia zaidi.
 
ukimweleza kk yako nae bro wako akimsema mkewe juu.y tabia yake utajenga uhasama na shem wako so kaaa nae mbali shm alafu mchane laivu huo ni puuzi atalalaje na ndg au ametumwa alete laanaa ktk familia yenu ???? usifuate misemo ya kijinga kama" hainaga ushemeji tunakulaga"
Asante sana mkuu wangu nimekuelewa
 
Walisema lakini, mkisharudi nyie tu basi mada kama hizi lazima tuzione sana humu, by the way hongera kwa kumaliza kidato cha sita, pumzika ukisubiria post za jkt.
Pole kwa roho ya kwann lakini sisi nao ni binadamu kama nyinyi tuna haki ya kutumia jf
 
Back
Top Bottom