Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Acha ufala, mle. Usipomla ataliwa na masela wa mtaani. Sasa kipi bora? Ule wewe au aliwe na masela? Huwezi jua bro anaweza kuwa mzaifu ndio maana shem anahangaika nina experience ya hii kitu
Sasa ufala wangu upo wapi???kama kaka anamadhaifu ni wajbu wa kaka kunambia
 
We mtoto wa mama nini?mwanaume huwezi kumkoromea mwanamke?mwambie live asikulete upuuzi na mikosi kwenye familia yenu la sivyo utamwambia kaka ako...lazima umuonyeshe kitu anachokitaka ni kuleta laana kwenye familia yenu..man up acha kuwa mwepesi mwepesi
Mtoto anakuwa wa mama+baba ila nitafanya uliyonambia
 
Wakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.

Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.

Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.

Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.
Ndugu,mwambie kaka yako, usipoangalia utakuja kusingiziwa hasa utakapokuwa ukimkwepa mara kwa mara, atakubambika kesi ya ubakaji
 
45e6210b249a269578abc2e2dd83f1cc.jpg
Huenda Shem anahitaj msaidizi wa mumewe, so kaona asipeleke fursa kwengine
Kwangu hapana
 
Kama mi ndo blaza ako lazima nikumaindi,haiwezekani ndugu yako wa damu afu usinambie miaka yote miwili
 
Endelea kukwepa, ukimueleza kaka utabadili hali ya hewa, hutajua ataipokea katika hali gani, pia mke wake atamjibu nini, tafuta namna bora ya kukwepa lkn sikushaur umwambie kaka
 
Back
Top Bottom