Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Anamaanisha labda jongoo hapandi mtungi[emoji23] miaka miwili unategwa hujanasa tuHuo ndio umri wangu sahihi na unaweza kutaja mfano wa hicho kitu cha pekee
Anamaanisha labda jongoo hapandi mtungi[emoji23] miaka miwili unategwa hujanasa tuHuo ndio umri wangu sahihi na unaweza kutaja mfano wa hicho kitu cha pekee
Sina tatizo na sina waswas kuhusu uaname wangu nipo kamili ila hapo kwenye kunasa siwezi kunasa nimejifunza kuvumilia na kupotezea japo damu yanichemkaAnamaanisha labda jongoo hapandi mtungi[emoji23] miaka miwili unategwa hujanasa tu
Hapo sasa ni wajibu wa kaka kunieleza mimi mdogo wakeOkoa Mali ya nduguyo, ukikataa Mali inapelekwa nje alafu kaka yako analetewa magonjwa. huweZi jua kaka yako labda luku imekata na ndio maana anakuita alafu shem anafunguka usaidie. Nyumba Zimeficha mengi jamani. Mkate kiwi.
Duh, ila ina ukakasi kiaina. Wife si atajenga bifu na dogo?Muelezee brother kiume mkuu....ili isilete madhara kwa shemeji na nikupongeze sana kwa kuwa na msimamo!! Kuwa makini sana usimsaliti Kaka yako !!
Wazee wapo ila nahisi kama sitaaminikaHakuna wazee huko kwenu??muite mzee wako mmoja mwenye busara,muelezee then akaongee na kaka yako,usiende wewe Kama wewe direct. Tuma mtu kupunguza ukakasi wa jambo na ilete tija za kitu uzima.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Huo nao ni mtego mkubwa sana
Hapana, usimwambie kaka yako,Wakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.
Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.
Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.
Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.
Mwabie kaka yako uko tayari kufanya kazi zake kwa bidii zote na uaminifu mkubwa ila akutafutie chumba mbali nahapo kwake na utawahi kazini kila siku, Ukimwambia tu tabia ya mkewe umekwisha dogo.Wakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.
Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.
Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.
Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.
Asante sana mkuuKaa nae shemeji yako mweleze kiume kuwa hutaki hicho kitu na mwambie akiendelea umeshakusanya ushahidi wa sauti na meseji hivyo akikusumbua unautoa kwa kaka yako na ndugu zako kwa ujumla. Pia usikubali kuishi hapo kwa kaka yako unaweza hata kuwekewa sumu wanawake waliopenda na kukataliwa si watu wazuri kuishi nao karibu
Bora mwanamke akuletee shida kuliko kakaako unaemtegemea..madhara yapo kote ila usipomueleza kakaako akajua kabla yako atajua uliku unamegaMkuu wasiwas wangu ni kwamba naweza kumueleza ukweli baadae kaka akapatana na mkewe bifu likabak kwangu