Kwa hiyo ww unataka afanyeje ssWewe endelea kumkataa tu!!!
Utafanya kaka yako akuchukie buree... Ukimwambia atachukua maelezo ya mkewe na wewe kuonekana mbaya... Unacheza na power ya papuchi wewe!!!
Aendelee kumkataa. Asimwambie kaka mtu.Kwa hiyo ww unataka afanyeje ss
Mƙuu umeongea point sn unaweza ƙuwa mshauri hata wa milembe na vichaa wakatulia kula tano!Mitihani ya dunia ndo hiyo.
Jaribu kumueleza shemeji yako athari zinazoweza kutokea kaka yako akibaini, msistize sana anaweza kukuelewa akatafta baharia mwingine.
Suala la kumueleza kaka sio zuri, wanaume sometimes wanaweza kuwa dhaifu sana kwa wake zao...ukimwambia kaka yako ni sawa na umempa option ya kuchagua Kati yako na shemeji yako.
Je akifanyiwa visa na huyo shemejie ya kwamba amemtaka yy hv unajua tabia za wanawake?je unamfaham derila?Aendelee kumkataa. Asimwambie kaka mtu.
Ivi unajua mara nyingi kaka mtu ni ngumu kua upande wa mdogo wake kwenye kesi kama hizo? Shemeji anaweza msweet talk mumewe na mdogo mtu ankaonekana ndo alimtaka shemeji!!!Je akifanyiwa visa na huyo shemejie ya kwamba amemtaka yy hv unajua tabia za wanawake?je unamfaham derila?
usimwambie kakako, ongea na Shem taratibu akuelewe usiwagombanishe.Mkuu wasiwas wangu ni kwamba naweza kumueleza ukweli baadae kaka akapatana na mkewe bifu likabak kwangu
kijana ukwel utakuweka huru, mwambie kaka yako kinaga ubaga kuhusu ishu hiyo ya shemeji yakoWakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.
Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.
Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.
Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.