Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Msaada, nimueleze kaka juu ya tabia hii ya mkewe?

Mkuu wasiwas wangu ni kwamba naweza kumueleza ukweli baadae kaka akapatana na mkewe bifu likabak kwangu
Mwambie shem utamwambia kaka yako..na km kuna uthibitisho wa meseji au recorded calls itakuwa ushahidi
 
Cha kukushauri;dont ever try kumweleza bro. ..lazma mwisho wa cku ataelewana na mkewe alaf we ndo utabaki kuonekana mbaya......just jiweke bize na kaz zako...dont give much of ur time kumzoea mke wa bro xana!!!
sawa mkuu ngoja nijaribu kumpotezea
 
Mwambie kaka ako halafu umwambie ni siku gani mnaenda kukutana na upange vizuri na huyo shem wako ili kaka ako afumanie badaye isiwe lawama
Mhhhh,,,,,bado sijaujua ujasir wa kaka yangu kwa hyo sithubutu kufanya hilo jambo
 
Usikubali kuangushwa na ibilisi. Fahamu kuwa ibilisi huwa anaitumia sana jinsia ya -ke katika kufanikisha mambo yake. Kumbuka kilichotokea katika bustani ya Edeni.

Pia endelea kuwa imara kama alivyokuwa Yusufu alipokuwa akitakwa kimapenzi na mke wa tajiri yake (Potifa.)
Amen
 
Wewe endelea kumkataa tu!!!
Utafanya kaka yako akuchukie buree... Ukimwambia atachukua maelezo ya mkewe na wewe kuonekana mbaya... Unacheza na power ya papuchi wewe!!!
 
Du! umejitahidi sana.
Wenzako wanasema hainaga ushemeji........................................tu.....aga
 
Wakubwa poleni na majukumu baada ya hapo naomba niende moja kwa moja kwenye maada yangu mimi ni kijana wa umri wa miaka 19.

Kaka yangu alioa miaka 3 iliyopita. Kaka huwa ananiomba niende kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini cha kusikitisha mke wa kaka yangu ananihitaji kimapenzi kwa muda wa miaka 2 sasa.

Nimekuwa nikijitahidi kumkwepa na kumpotezea. Sasa nimemalza shule kaka anataka tukaishi wote kwake ili kumsaidia kusimamia shughuli zake lakini nasita sana kwenda sababu ya shemeji na kaka ndiye ninayemtegemea.

Je wadau nimueleze kaka juu ya tabia ya mkewe? Maana sipendi hao watu wagombane.

Acha ufala, mle. Usipomla ataliwa na masela wa mtaani. Sasa kipi bora? Ule wewe au aliwe na masela? Huwezi jua bro anaweza kuwa mzaifu ndio maana shem anahangaika nina experience ya hii kitu
 
Ukimwambia kaka yako utaleta taflani ndani ya familia. Kaka yako hata mwamini tena mke wake pia hata wewe hakuamini. Kikubwa wewe kaa kimya na shemeji yako muambie hutaki upuuzi
 
Back
Top Bottom