Sitaki kuamini
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,145
- 1,344
Hi there/here!!
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?

