Mie nashauri kama mtu kaja ana anataka akopeshwe shillingi let say 100K , Basi unampima kutokana na jinsi mnavyofahamiana basi unamkadiria kiasi unacho weza mpatia tu kisiwe eti mkopo na maisha yanaendelea.wewe ni mimi kabisa, alafu nina huruma sana, kila nikisema sasa hivi simkopeshi mtu nashindwa, mtu akiniambia tu shida yake namuonea huruma kama ninayo namuazima, ila after that nakosa comfidence kabisa ya kumdaui naanza kumkwepa.
Kabisa kabisa mie ndiyo utaratibu wangu na unaepusha mambo mengi .nilikuwa hivyo siku za nyuma. ili niepukane na hali hiyo ukija kwangu unakopa kama ninacho nakupa tu au ninakwmabia sina
Kuna mdau namdai naweza kumpigia simu hata wiki mzima asipokee simu ,anavunga kama haoni missed call zangu ,namtumia sms ya kawaida ,whatspp lakin wapiHi there/here!!
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?
Usipomkopesha urafiki unakufa piaNdio maana njia moja wapo ya uhakika ya kupoteza rafiki ni kukopa pesa, na ya pili ya uhakika ni kukopesha pesa.
OP, kama inakufanya unajisikia vibaya, NEVER LEND MONEY TO ANYONE. Problem solved.
Hii ni kweli, unakuwa umetia lock.Mm nikikopesha mtu huwa naomba asinirudishie na simdai ila simkwepi, Huwa inanisaidia sana sababu inapunguza idadi ya wanaonikopa maana anarudije kukopa na hakulipa deni?
Hiyo ni nidhamu ya uoga Mkuu inakubidi ujifunze kuwa honesty na wewe mwenyewe.Hi there/here!!
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?
Tuko wengi, mm hua simuhofii wala kumuogopa. ila siwezi kumsumbua, pia mtu akija anataka kukopa namuuliza unarejesha lini. Basi nitamtafuta siku hiyo ya mapatano. Akisumbua hua naacha tu, nitakua namtafuta siku mojamoja.Hi there/here!!
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?
Nami nna shida hyo tena nikimuona moyo unaenda mbioHi there/here!!
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?
Wamesema soln ni kuwa na roho mbayawewe ni mimi kabisa, alafu nina huruma sana, kila nikisema sasa hivi simkopeshi mtu nashindwa, mtu akiniambia tu shida yake namuonea huruma kama ninayo namuazima, ila after that nakosa comfidence kabisa ya kumdaui naanza kumkwepa.
😂😂😂dah yaani unaona atajisikia vibayaNaona tuko wengi unamkopesha mtu kumdai unamuonea huruma 🤣 🤣
Mimi hata njia nabadirisha asinioneNa
Nami nna shida hyo tena nikimuona moyo unaenda mbio
Ulivyonavyo kichwani vyote hiki ndio ukachagua utoe sio.Kama Hutaki kuamini tutakulazimisha Uamini! Sawa ndugu Sitaki kuamini !
Hi there/here!!
Nikimdai mtu mimi ndio naaza kumuogopa,yaani ile hali ambayo inabidi apitie mdaiwa ndio napitia mimi.
Sipiti karibu na kwake,si view status zake nk and nakosa kabisa peace of mind na kumkwepa mpaka atakaponilipa pesa yangu.
Hili ni tatizo gani? Nani mwingine analo hili tatizo? Nafanyeje sasa ku’overcome?