Tupe mfano wa yy kutukanaMtu ukienda shule kidogo angalau unakuwa na kitu tofauti kabisa yaani, huwezi tukana mbele za watu hovyohovyo hivyo.
Halaf wale waumin wake looohh.... ndio wanakuwa wamelishwa nini vile .......?
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
Halafu ukishamdefine itakusaidia nn?Apologise lady
Sio kufatilia huyu amekuwa akizungumziwa sana amekuwa kama icon kwenye media swala la kujua Cv hilo kawaida ...tukimjua tutaunganisha dot nakupa njia nzuri ya kumdefine
Ni nani aliyekuloga????nimekudharau wewe..hufai wewe..sikuheshimu tena wewe..pampac wewe..ukiletewa CV yake utampa kazi???
Umetumwa au.Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
mkuu, habari ya mujini kwa sasa ni [HASHTAG]#bashiteonyeshavyetikuanziapraimari[/HASHTAG]Tumekubaliana kwamba ili umnyooshee kidole mwenzio inabidi uwe msafi kwanza!Ndio saga linaloendelea!Kwasababu Gwajima amekuwa kinara wa kumtaka Makonda aweke vyeti hadharani, ni vema na yeye akatuwekea vyake tuone namna alivosoma toka msingi mpaka kiwango chake cha PhD!Hili haliondoi madai yanayoendelea!
Gwajima weka vyeti vyako vya kitaaluma hadharani tuone kama hukufoji
Kweli wasubiri kwanza...halafu twende kwa mmoja mmoja na tuwaombe wasituchanganye kukumbilia kwenye nyumba za ibadaKwa sasa tunashugulika na RC wa Dsm.
Msibadili mada tafadhali.