Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

Msaada: Natafuta CV ya Josephat Gwajima

He is clever, with big talent of putting people of different thoughts and ideas together and preaching them to follow the word of God.
 
Huyu ni kama mimi tu elimu ya kuungaunga....form four mwaka 1990 na Div 4 ya nguvu then PHD miaka 3 baadaye.
Mimi nilifikiri hivyo pia AMA uenda ni hivyo! Lakini nilimsikiza clip wakati anajiita Rashid nikagundua kuwa katika maongezi yake kuna flow of Logic katika maelezo aliyotoa, mwanzoni nilifkiri ni yupo yupo tu.
 
Tunaomba kujua CV ya Ndugu Gwajima ambaye ni Askofu na mwanasiasa. Huyu ndugu amekuwa maarufu sana kwa miaka ya hivi karibuni hasa kuanzia 2015.

Nimetamani kujua elimu yake kwa ujumla tujue kama ni msomi kweli au ujanja-ujanja tu.
Kwani CV ndo itaongoza kawe? Nileteeni gwaaajimaaaaaaaa
 
ngoja apate ubunge, akawagonge vizuri wakina zuchu na wema sepenga
 
Back
Top Bottom