Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Watu wengine hata huyo Allah wenu hamumwogopi???Mnapiga uongo kwa kwenda mbele,Kabla mkamzushia Amekufa na tena sasa mnamtungia CV ya uongo ndiyo maana huyo Allah wako haaminiki maana watu wakikuona wewe uko Machepele sasa wewe utaniambia nimwamini unayemwamini wewe??Acheni Uongo wenu
mie siko hapa kuhubiri kama ndo iunajidanganya.
ha ha ha,tena inawezekana unadhani napotofautiana na wewe ndo nataka kukuhubiria eeh?.
muonye huyo ngwajima,mtu ana tabia chafu kama hakuzaliwa ila alijambwa bana,dah......!!