Ukielewa tabia ya nyoka utaweza kuepukana naye, nyoka hutembelea maeneo mbalimbali kwa ajili ya kutafuta maji ya kunywa, hivyo, weka chombo chenye maji nje ya nyumba yako, watakuja wengi kunywa maji na kuondoka. Ukitaka kuwakamata unaweza piaWaungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona.
Niko Mkoani, kwahiyo niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepanga na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster.
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
Na wao ni wakorofi sasa. Kwanini wasiende Dawasco wakalipie bomba lao ili wasisumbue binadamu?!Ukielewa tabia ya nyoka utaweza kuepukana naye, nyoka hutembelea maeneo mbalimbali kwa ajili ya kutafuta maji ya kunywa, hivyo, weka chombo chenye maji nje ya nyumba yako, watakuja wengi kunywa maji na kuondoka. Ukitaka kuwakamata unaweza pia
wape tu maji ili wasikusumbue 🤓Na wao ni wakorofi sasa. Kwanini wasiende Dawasco wakalipie bomba lao ili wasisumbue binadamu?!
Siyo wakuokota ovyoovyo, wengine automatically demu unaemrushia ndowani kutaniutani unakuta na yeye anaja mazima Kama vile pia yeye alikua ana kuwinda!!Duh pole sana aiseeee! Tuache mademu was kuokota hovyo hovyo
Ndani kwangu sina hizo mambo. Geto la mtafutajiUkielewa tabia ya nyoka utaweza kuepukana naye, nyoka hutembelea maeneo mbalimbali kwa ajili ya kutafuta maji ya kunywa, hivyo, weka chombo chenye maji nje ya nyumba yako, watakuja wengi kunywa maji na kuondoka. Ukitaka kuwakamata unaweza pia
Dah....hongera mkuu.....kitendo Cha kuwepo nyoka ndani ya chumba chako Ni dalili kuu ya kuonyesha kwamba unaishi kwenye mazingira mazuri na rafiki. Hutaona panya wala mijusi ndani ya nyumba yako. Cha msingi unatakiwa kujua nyoka hung'ata pale anapotishiwa maisha yake kama haogopeshwi na chochote Basi huwa poa sana....Waungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona.
Niko Mkoani, kwahiyo niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepanga na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster.
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
Toka lini kuku au bata akamuua nyoka mzee wangu...Fuga kuku au bata kazi kwishnei mwanangu
Wawaza waua nyoka nao wangeandamana kuwauwa binadamuu ... vita ni vita muraaaNimewaza hivyo hivyo, ngozi nauza halafu nyama natengeneza rost
Fuga uone. Nyoka ni chakula cha hao jamaa wawili pia huwa hawapendi hasa bataToka lini kuku au bata akamuua nyoka mzee wangu...
Nyoka kapiga Sana kuku wangu Hadi nilivyogundua tayari alinitia hasaraFuga uone. Nyoka ni chakula cha hao jamaa wawili pia huwa hawapendi hasa bata
Nyoka hawapendi harufu ya mafuta ya taaWaungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona.
Niko Mkoani, kwahiyo niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepanga na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster.
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.
Bro hao nyoka hawana madhara kbs wala hawaumi. NI BROWN HOUSE SNAKE.
Wanakusaidia kupunguza pest kama panya au wadudu wengine.
Hawana sumu kabisa bali ni constrictors (wanambana panya pumzi)kisha kummeza.
Uwe na amani kabisa.
Anawapigaje wakati wana magamba miguuni? Wachina huamini kuwa kuku na bata wanafukuza nyoka kwa kuwala na nyoka wanawaogopa.Nyoka kapiga Sana kuku wangu Hadi nilivyogundua tayari alinitia hasara
Unajuaje nyoka ni lunatic?
Alifeli shule?
Mchanganyiko huo unaendana na wale wa wadudu wa kwenye mbao,nao niliambiwa ukipaka mbao ivyo mchwa hali tena mbaoHaujasema upo mkoa gani na eneo lako lipoje umezungukwa na mazingira gani utuonyeshe.....
Ila fanya hivi tafuta lile gallon la lita 5 lijaze oil chafu, kisha nunua mafuta ya taa lita tatu na nusu pakti ya chumvi ya unga, changanya halafu tikisa vichanganyike vema.
Baada ya hapo tafuta chupa ya maji ya kunywa hizi kama za uhai, itiboe kuweka tundu kisha kuwa unamiminia huo mchanganyiko na utumie hiyo chupa kunyunyiza eneo la kuzunguka nyuma unayoishi.
Unaweza kuogeza kipimo hata ndoo kubwa ya oil chafu ukapata na lita tano za mafuta ya taa na pakti nzima ya chumvi ya unga,kisha ukachanganya halafu ukamwaga eneo lote kwa maana ya vichaka, maficho, mashimo, eneo lenye makorokoro yaliyorundikwa.
Hiyo harufu nyoka kama wapo hapo watatoka ndani ya dakika kadhaa tu na pia kama wapo nje ya eneo hilo hawatasogea au watakimbia mbali na hapo.
Na ikitokea huo mchanganyiko ukamwagia nyoka direct aisee ni kitendo cha dakika kadhaa atachanika chanika ngozi yake utamuonea huruma anavyokufa kifo cha mateso na kukauka.
Elimu haina mwisho....kuna cha kujifunza hapaUkielewa tabia ya nyoka utaweza kuepukana naye, nyoka hutembelea maeneo mbalimbali kwa ajili ya kutafuta maji ya kunywa, hivyo, weka chombo chenye maji nje ya nyumba yako, watakuja wengi kunywa maji na kuondoka. Ukitaka kuwakamata unaweza pia
Maji ya upako ni kiboko ya mwamposa hutajutia fungulia chanel iitwayo arise and shine kila saa3 u fatisha maelekezo utaona maajabuWaungwana eeegh hawa nyoka naelekea kuanza kuchoka.
Hii ni Mara ya pili sasa naua nyoka chumbani kwangu. Nimejaribu kuangalia ni wapi wanaweza kuwa wanapitia kwa kweli sijaona.
Niko Mkoani, kwahiyo niliamua kupanga chumba ili kupunguza gharama za Lodge kila mara maana huwa nakaa week au week mbili.
Hii nyumba niliyopanga ni mpya, mlangoni kwenye chumba changu nimepanga na dekio la taulo ili kuzuia vumbi, chooni sioni possibility ya kupitia huko!
Dirishani ambapo ndipo kitanda kilipo huwa nafungua dirisha ila Kuna Mosquito net, je Nyoka anaweza kupanda ukuta aingie ndani? Maana nawakuta jirani tu na kitanda.
Haka ka Leo kalikua chini ya kiti, yaani wakati Niko kwa laptop nafanya kazi kumbe huyu mpuuzi yuko chini ya kiti.
Anyway, nisaidieni namna ya kuwamaliza kabisa, waache ujinga wao wa kuibuka usiku.
Wamenikata stimu kabisa, halafu wakati nakaua ghafla Tanesco wakakata umeme! Ila ukarudi faster.
Nje mazingira ni masafi maana ni mashamba, majirani zangu hawaja experience kiti kama hiki!
Ila Mimi nndio ishanitokea twice. Nipeni Dawa Wakulungwa.