Msaada kwenye tuta: wanaume wenzangu mnafanyaje fanyaje mpaka mnafika kilele haraka wakati Wa tendo?!!

Msaada kwenye tuta: wanaume wenzangu mnafanyaje fanyaje mpaka mnafika kilele haraka wakati Wa tendo?!!

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
11,271
Reaction score
14,512
Nimeachwa na Wanawake wapatao Sita Sasa wakidai Kuwa nawakomoa sana wakati Wa tendo Maana nimekua sifiki kileleni nafanya kwa muda mrefu mno mpaka inakua kelo kwao,

Mwanzo niliona sifa Lakini Sasa naona siyo sifa nzuri tena, nilimtembelea dokta mmoja nikamueleza jambo hili private aliniambia Kuwa inawezekana Sina sparms za kutosha inapaswa nitumie protein kwa wingi haswa karanga Nazi n.k,

Nimefanya hivyo bado tatizo lipo pale naweza fanya mapenzi ndani ya lisaa lizima bila ya kufika kilele, mwenzangu anafika mpaka anachoka na mpaka inakua kero siyo mapenzi tena inakua ni vurugu na ubakaji

Hilo ndiyo tatizo langu wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada kwa mtu mwenye ushauri unaofaa nitaufanyia Kazi wakuu

Angalizo: sitaki Mambo ya Simba na Yanga kwenya Huu Uzi
 
Nimeachwa na Wanawake wapatao Sita Sasa wakidai Kuwa nawakomoa sana wakati Wa tendo Maana nimekua sifiki kileleni nafanya kwa muda mrefu mno mpaka inakua kelo kwao,

Mwanzo niliona sifa Lakini Sasa naona siyo sifa nzuri tena, nilimtembelea dokta mmoja nikamueleza jambo hili private aliniambia Kuwa inawezekana Sina sparms za kutosha inapaswa nitumie protein kwa wingi haswa karanga Nazi n.k,

Nimefanya hivyo bado tatizo lipo pale naweza fanya mapenzi ndani ya lisaa lizima bila ya kufika kilele, mwenzangu anafika mpaka anachoka na mpaka inakua kero siyo mapenzi tena inakua ni vurugu na ubakaji

Hilo ndiyo tatizo langu wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada kwa mtu mwenye ushauri unaofaa nitaufanyia Kazi wakuu

Angalizo: sitaki Mambo ya Simba na Yanga kwenya Huu Uzi
asee pole sana mkuu ..kama ni kweli nakuelewa unachokipitia mana kuna wakati iyo hali ilinitesa kimtindo
 
Cha msingi unakuwa una assume uko na your favorite category kama ni teen au Ebony au big booty assume uko nayo kandamiza kutokana na hizo hisia
 
Inaonekana kipindi cha nyuma umefanya sana PUNYETO tena kwa muda mrefu..ulifanya hlo zoez lakn ulikuwa unakula vyakula vya kuweka mishipa sawa..

PENDELEA KULA SUPU YA SATO PAMOJA NA KOROSHO MBICHI.
UKIPATA MUUZA KOROSHO MWAMBY NAOMBA KOROSHO MBICHI(AMBAZO HAZIJAKAANGWA) KULA SIKU TATU MFULULIZO HALAFU ULETE MAJIBU HAPA.
 
Wanakuja, ila hela unayo!?
Jitaidi kuongeza flattery skills kama huna hela ya kuonga, hii mbinu imeshatumika sana.
 
Nimeachwa na Wanawake wapatao Sita Sasa wakidai Kuwa nawakomoa sana wakati Wa tendo Maana nimekua sifiki kileleni nafanya kwa muda mrefu mno mpaka inakua kelo kwao,

Mwanzo niliona sifa Lakini Sasa naona siyo sifa nzuri tena, nilimtembelea dokta mmoja nikamueleza jambo hili private aliniambia Kuwa inawezekana Sina sparms za kutosha inapaswa nitumie protein kwa wingi haswa karanga Nazi n.k,

Nimefanya hivyo bado tatizo lipo pale naweza fanya mapenzi ndani ya lisaa lizima bila ya kufika kilele, mwenzangu anafika mpaka anachoka na mpaka inakua kero siyo mapenzi tena inakua ni vurugu na ubakaji

Hilo ndiyo tatizo langu wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada kwa mtu mwenye ushauri unaofaa nitaufanyia Kazi wakuu

Angalizo: sitaki Mambo ya Simba na Yanga kwenya Huu Uzi

Fungua PM washafika tayari waingie 😀
 
Back
Top Bottom