mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,039
Mashiirika ya umma kama vile Kibaha Education Centre yanayomiliki shule, walimu wake hutumia ngazi za mishahara za PSTS tofauti na walimu chini ya Tamisemi wanaotumia ngazi za TGTS.
Mwalimu anayeanza huko kwenye mashirika huanzia PSTS 3, wakati huko Tamisemi huanzia TGTS D1 771,000/= kwa mwezi.
Nilitaka kufahamu hao wa PSTS 3 huanzia shilingi ngapi?
Mwalimu anayeanza huko kwenye mashirika huanzia PSTS 3, wakati huko Tamisemi huanzia TGTS D1 771,000/= kwa mwezi.
Nilitaka kufahamu hao wa PSTS 3 huanzia shilingi ngapi?