Tena za chogowezi wa tv bado wapo?
Nyie ndo wakulaumiwa kwa kuwakaribisha wezi. 70 inch TV ya nini?Huu wizi umerudi kwa kasi, last week walibeba nchi 70 kwangu nakurupuka kuuliza uliza na jirani yangu nae kapigwa usiku huo huo. Sijui wanatumia dawa gani washenzi hawa.
Wewe hujui kitu kaa kimyaUsikute mke wako alichora eamani na hao wezi.
Nusu kaputiHuu wizi umerudi kwa kasi, last week walibeba nchi 70 kwangu nakurupuka kuuliza uliza na jirani yangu nae kapigwa usiku huo huo. Sijui wanatumia dawa gani washenzi hawa.
Wewe hio inch 18 yako hujawahi kuibiwa?Nyie ndo wakulaumiwa kuwakaribisha wezi. 70 inch TV ya nini?
mbaya sanaTena za chogo
Mama yangu anafanya hii kitu plus mitego kila kona. Anaweka masinia na masufuria milangoni na madirishani. Bila kusahau filimbi chini ya mto😅Lala na tv chumbani
Very risk kuweka umeme unaweza dhuru watu usiolenga wadhirike.Madirisha yote unganisha na Umeme
Pia jitahidi kufuga mbwa ili awe anakuamsha
Madirisha ukiunganisha na Umeme uwe na kumbukumbu maana wtoto wetu tunawajua walivyo
Pia pole sana
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha haMimi nataka vile vikamera vidogo maana wanakijiji wamenigeuza mimi mfugaji wao .



wapi huko?Mama yangu anafanya hii kitu plus mitego kila kona. Anaweka masinia na masufuria milangoni na madirishani. Bila kusahau filimbi chini ya mto![]()



Inasemekana wanachanganya changanya wenyewe, wengine wanatumia klorofomu, ilimradi tu.Huu wizi umerudi kwa kasi, last week walibeba nchi 70 kwangu nakurupuka kuuliza uliza na jirani yangu nae kapigwa usiku huo huo. Sijui wanatumia dawa gani washenzi hawa.
Pole Sana Mkuu Kama upo na Bastola muhimu na kuweka mlinzi hata Masai aisee pole sanaCCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa.
Mbwa wanasaidia sana ingawa nao wanaweza kupigwa sumu dk 5 tu chali. Mie niliibiwa gari nina mbwa, camera, electric fence, ukuta kozi 11, geti la umeme na alarm ila wajinga walifanya yao na mbwa wote wanne walikufa kwa sumu.
Wezi wakipania hawakukosi
🤣🤣🤣AiseeMama yangu anafanya hii kitu plus mitego kila kona. Anaweka masinia na masufuria milangoni na madirishani. Bila kusahau filimbi chini ya mto😅
Kunyanyinya.CCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa.
Mbwa wanasaidia sana ingawa nao wanaweza kupigwa sumu dk 5 tu chali. Mie niliibiwa gari nina mbwa, camera, electric fence, ukuta kozi 11, geti la umeme na alarm ila wajinga walifanya yao na mbwa wote wanne walikufa kwa sumu.
Wezi wakipania hawakukosi


Hao majizi wamekula kisomo kisawa sawa wakaelemika.hahahaNina mke sipigi puri...