Msaada kutokomeza wezi?

Msaada kutokomeza wezi?

Madirisha yote unganisha na Umeme
Pia jitahidi kufuga mbwa ili awe anakuamsha
Madirisha ukiunganisha na Umeme uwe na kumbukumbu maana wtoto wetu tunawajua walivyo
Pia pole sana

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Sipendekezi afuate ushauri wako. Nimeshuhudia watoto wengi wakifa kwa sababu ya hili la kuweka umeme kwenye madirisha au fensi. Lazima kuna siku utasahau tu. eg Mke/mume anaweza kuugua ghafla usiku mkakurupuka kukimbilia hospital mkasahau.
 
Habari za leo wanajamvi?
Naleta kwenu mada hii nikiwa na majonzi baada ya leo alfajiri kupigwa flat yangu Hisense 55inch..
Kuna alarm 🚨 systems zinauzwa Alibaba, zinatumia solar, ni vidogo ila wapuuzi wakikaribia tu usiku kinapiga kelele za kufa MTU. Lazima utaamka tu. Vinauzwa pesa ndogo kama dollar 10 hivi
 
Kuna alarm 🚨 systems zinauzwa Alibaba, zinatumia solar, ni vidogo ila wapuuzi wakikaribia tu usiku kinapiga kelele za kufa MTU. Lazima utaamka tu. Vinauzwa pesa ndogo kama dollar 10 hivi
Unaweza weka picha? Au naweza check Alibaba.
 
Uongo huu..hao walikuwekea security fake. Ile waya inapiga shoti ya hayari na alarm mtaa mzima wataamka. Na seting yake umeme ukiondolewa kwa njia yoyote inapiga alarm hakuna namna wanaweza kufanya kwenye fence ya umeme...
Unasema ukweli mkuu?!
 
CCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa...
Mwizi haji hovyo hovyo, anajua mazingira yote na huenda aliwahi ingia ndani ya nyumba mchana
 
CCTV camera hazisaidii sana maana wezi wanajiandaa na kuficha sura zao. Hata electric fence kuna namna watu wanapita bila kuzigusa...
Wanakijiji ni washamba hawawezi jua kuwa zile ni kamera .

Mbwa wapo Shida nimewalea kimayai mpaka sasa hawana maajabu , nawaza kutafuta mbwa mbwa kweli sio hawa washikaji wao naibiwa wapo tu , kazi kupiga kelele wakiona wachawi sio wezi
 
Hapa kwenye kupiga picha hii nimeona mara nyingi ubaya sasa inapiga picha hadi mtu wa hapo hapo, stupid yaan mtu ni wa hapo hapo CCTV lnapiga picha kila mda inapiga picha
Kwann usiseti timer yaani iwe active kufanya hiyo command muda ule ambao unataka.
 
Back
Top Bottom