aQ
Mbona unarahisisha mambo makubwa yawe mepesi, uibiwe halafu bima wakulipe, sawa inawezekana, ila sasa ukichukua mwenyewe ukauza, au kivyovyote vile watakulipaje, tupe elimu ya namna watakavyokulipa.Yes yes unakatia bima mkuu, mfano watu wengi wanapohamia maeneo mapya huibiwa sana
Ubaya umeongezeka sana,
katia bima kila kitu chako unachoona ni cha thamani, hata ikitokea balaa bima wakurudishe ulipokuwa,
Iwe simu, TV, friji na chochote unachoona hiki wahuni wakipita nacho nitadata
Ndio hivyo tu mkuu