Msaada kuhusu kujiunga na Bolt Driver Location Dodoma

Msaada kuhusu kujiunga na Bolt Driver Location Dodoma

Mamtolo

Senior Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
195
Reaction score
218
Nipo dodoma, nina kigari ambacho nataka nikipigie mishe za Bolt ili kujipatia vijisenti vya hapa na pale maana hali ni ngumu kiukweli.

Kama kuna mtu anaweza kunifanyia mchakato nikapata akaunti ya Bolt driver,tuwasiliane. Gari nlonayo ni private(namba ya njano) sio ya biashara (namba nyeupe)
 
Dodoma hiyo biashara ngumu ila Kama gari ni ya kwako hela ya kula hukosi,gari ni aina gani nikuuunganishe na dogo mmoja,ila mkitapoeliana usinihusishe
 
Back
Top Bottom