Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,989
- 3,692
Mwaka 2018 ilianzishwa kampuni ya usafiri ya tax kwa mkoa wa Mwanza Taxify baadae wakajiita BOLT, Madereva walihitajika kuhudhuria mafunzo ya siku moja, karibu na Rocky City Mall, waliohudhuria kipindi cha mwanzo walipata commission nzuri kila mtu alitamani kuwa tax driver mjini.
Kwa Dar es Salaam Uber nayo ilivuma sana, mpaka wahuni walipoivamia inafika pahali unafanya booking ya Tax, App inakuelekeza bei mfano itakua 4,000-6,000 lakini dereva anakuambia atakuja kama utamlipa 8,000. Hawa ni madereva wahuni na kama mtu una haraka inakulazimu kukubali au kujadiliana bei ipungue kitu ambacho sio sawa.
Kwa sasa kuna kampuni nyingine inayofanya kazi katika mikoa ya Dodoma, Arusha na Dar Es Salaam wao nasikia wanajiita Indriver na application yao ni IndriverApp. Dereva ambaye amefanya kazi ya Tax na kutumia Indriver App kupata wateja katika mikoa hii nahitaji kujua vigezo na masharti vya kujiunga nao.
Wanahitaji gari za kuanzia mwaka gani, commission zao zinalipwaje, kuna maboresho yeyote kama mteja kuweza kumpata dereva wa gari akiwa offline!! ikiwezekana kupata namba za ofisi tuweze kuwasiliana nao kiurahisi itakuwa msaada na kwa wengine wachangamkie hii fursa ikiwa ya moto.
Aluta continua
Kwa Dar es Salaam Uber nayo ilivuma sana, mpaka wahuni walipoivamia inafika pahali unafanya booking ya Tax, App inakuelekeza bei mfano itakua 4,000-6,000 lakini dereva anakuambia atakuja kama utamlipa 8,000. Hawa ni madereva wahuni na kama mtu una haraka inakulazimu kukubali au kujadiliana bei ipungue kitu ambacho sio sawa.
Kwa sasa kuna kampuni nyingine inayofanya kazi katika mikoa ya Dodoma, Arusha na Dar Es Salaam wao nasikia wanajiita Indriver na application yao ni IndriverApp. Dereva ambaye amefanya kazi ya Tax na kutumia Indriver App kupata wateja katika mikoa hii nahitaji kujua vigezo na masharti vya kujiunga nao.
Wanahitaji gari za kuanzia mwaka gani, commission zao zinalipwaje, kuna maboresho yeyote kama mteja kuweza kumpata dereva wa gari akiwa offline!! ikiwezekana kupata namba za ofisi tuweze kuwasiliana nao kiurahisi itakuwa msaada na kwa wengine wachangamkie hii fursa ikiwa ya moto.
Aluta continua